Hii vita ni Makombora vs Vikwazo vya kiuchumi, mmoja anakaribia kuomba poo!

Hii vita ni Makombora vs Vikwazo vya kiuchumi, mmoja anakaribia kuomba poo!

Unajua ktk ukweli na uhalisia unatakiwa uweke ushabiki pembeni,hiki ni kitu ambacho pro-Russia wanakisahau kaka.
Katika dunia ya sasa huna uzalishaji wa kutisha duniani,huna foreign reserve ya kushindana na wamagharibi na duniani una ushawishi haba kiuchumi ndugu usijaribu kushindana na America na washirika wake utaumia maana uchumi wameshikilia wao.
We unadhani EU na US watoe tamko mataifa yaliyo umoja wa mataifa UN wasishirikiane na Russia kiuchumi unadhani Russia inachomoka wapi!?
Huyu jamaa anataka kuleta reference za China ilhali China ni taifa ambalo tayari kiuchumi linashindana na hawa jamaa .
Dunia ya sasa nguvu ya uchumi ndio Kila kitu sio silaha km zamani.
Duh aisee umenisanua hapo. Inawezekana sana kwamba Uchumi unaenda kuzidi nguvu Silaha
 
Ameambiwa na wataalamu wa masuala ya kimataifa kuwa mleta mada bado ni dogo sana kwenye mambo haya!!!
Hahahaaaa....... Wananchi wa Syria kila uchao wanaokotwa baharini wakikimbilia Ulaya halafu manka mmoja anasema Syria iko vizuri?!!!

Hili swala liko mubashara bwashee hakuna kificho anayekimbilia Nyuklia kila mtu anamuona mchana kweupe.

Ukubwa wa pua siyo wingi wa kamasi na ukubwa wa kende siyo wingi wa mbegu bwashee, Putin ameyakanyaga zamu hii!
 
Inategemea na aina ya vikwazo, na uchumi wa nchi husika, sasa urusi anapoambiwa ndege zake ni marufuku kutumia anga la nchi za ulaya, ni sawa na huyo N.korea?urusi akipigwa marufuku kutumia dola athari zake ni sawa na za cuba?
Hawawezi kukuelewa hawa Pro Russia,sijui hawaoni panic iliyopo Russia na kilio cha Waziri wa Mambo ya Nnje anachokitoa baada ya hizo sanctions kuwa effected,wao wako busy na "Russia humuwezi ana Nukes za kutosha",Dunia ya leo nani anapigana vita vya maguvu peke yake na akafanikiwa.
 
Hizo digital currency ni sawa na assets unazotarajia zitakuwa na thamani miaka 100 ijayo ila sio Sasa...

Hao Russia wangeanza kuzitumia miaka mingi sana kama zingekuwa zinafanya kazi Kwenye uchumi halisia.

80% ya wanaozitumia kwa sasa wanatumia kwenye black markets na mambo ya uhalifu(mauaji, madawa ya kulevya, child porns), sababu kuficha identity zao.
cc Numbisa
 
na hii sapoti aliyopata ukraine,
bila shaka mchina ataiogopa taiwan
ile tamaa yake ya kuipata taiwan kivyovyote na iman itakuwa imepungua kwa asilimia kadhaa
M Ukraine mwenzangu,kumbe na wewe upo kote kote kama mimi tu hapa 😂
 
Kuanzia vinaanza hivi vita nimempinga sana Putin . Japo ana mashabiki wengi sana humu ,lakini maamuzi yake kuingia kwenye hii vita ameyafanya kwa hasira sana. Dunia ya sasa haihitaji nguvu bali akili. Huyu mtu wenu mnaemshabikia ni mjinga sana kujifanya mbabe wa vita. Anawamaliza watu wake. Soon wanaingia mtaani kumtoa madarakani
 
Mungu wa mbinguni mpumzishe kwa amani Joseph Magufuli!

Je mmefanya matayarisho ya kwenda CHATTLE kwenye kumbukumbu ya Jiwe wenu? Wakumbusheni Musukuma, Kibajaj,Bashiru, Polepole, Ndugai, Kingwangalla,Mwambe , Kitilla Mkumbo, Challamila, Bashite, Sabaya na wale covid19 wasisahau kupeleka maua!!
 
digital currency sio bitcoin tu blaza, mataifa mengi tu kwa sasa wanataka kuhamia huko,,, yani hata uganda anataka kuimplement hio sembuse mrusi ashindwe rudi kalale
Acha hizi porojo,kwamba wewe ndiyo unayajua mambo zaidi kuliko Financial experts wa Dunia waliopo NYS,LST na Pundits wengine wengi waliopo kwenye masoko makubwa ya kifedha Duniani.Nyie Pro Russia mnachekesha sana mnacomment na simu zenu za Iphone,Sumsung zilizotengenezwa na hao hao mnaotaka kutuaminisha hawajui kitu.
 
Unaongea hivyo utadhani Dunia yote inamtegemea Russia kwa hizo bidhaa,mbona sasa kapigwa sanctions na amepanic,akae na hiyo gesi yake tuone kama atakula hiyo gesi
Jamaa zake wameanza kumkimbia.

Abramovich ameshamkana!
 
Acha hizi porojo,kwamba wewe ndiyo unayajua mambo zaidi kuliko Financial experts wa Dunia waliopo NYS,LST na Pundits wengine wengi waliopo kwenye masoko makubwa ya kifedha Duniani.Nyie Pro Russia mnachekesha sana mnacomment na simu zenu za Iphone,Sumsung zilizotengenezwa na hao hao mnaotaka kutuaminisha hawajui kitu.
Pro Russia wamekariri!
 
sio rahisi kiivyo bwasheeee.. wale sio kama ccm na chadema
hahaa uko nyumq sana kijana, Wa Ruusia washaanza kumkaataa putin, soon haiishi this week utashuhudia kitu tunakwambia, maandamano yatakua makubwa sana huko Russia, wanachofanya EU na Nato ni kungombanisha Putin na wananchi wake ili aikose support abaki kusort out internal issues. Hivyo vikwazo alivowekewa ni vibaya sana na vinaumiza watu very immediately, sasa hivi watu wanapanga fileni Bank huko Russia na hakuna pesa, kuongezeka kwa riba up to 20% imeishusha pesa ya Russia in one day kwa 30%, after 1 or 2 weeks wanaenda kua kama zimbabwe thamani ya pesa yao. Utabeba kapu kwenda kununua mkate. Wnanchi huko Russia saa hii wanahaha maana wameanza kuona utamu wa vikwazo very faster kuliko walivyo tarajia. Ingia stock exchange market yao uone hali ilivyo mbaya, ingia online angalia viwango vya thamani ya pesa yao usikitike.

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
 
Hahahaaaa....... Wananchi wa Syria kila uchao wanaokotwa baharini wakikimbilia Ulaya halafu manka mmoja anasema Syria iko vizuri?!!!

Hili swala liko mubashara bwashee hakuna kificho anayekimbilia Nyuklia kila mtu anamuona mchana kweupe.

Ukubwa wa pua siyo wingi wa kamasi na ukubwa wa kende siyo wingi wa mbegu bwashee, Putin ameyakanyaga zamu hii!
Waambie hawa Warussi wa Mama Samia walio mbali na uhalisia,sijui hawaoni panic iliyopo Russia baada ya vikwazo.
 
Je mmefanya matayarisho ya kwenda CHATTLE kwenye kumbukumbu ya Jiwe wenu? Wakumbusheni Musukuma, Kibajaj,Bashiru, Polepole, Ndugai, Kingwangalla,Mwambe , Kitilla Mkumbo, Challamila, Bashite, Sabaya na wale covid19 wasisahau kupeleka maua!!
Kumbukumbu itafanyika pale Lupaso kitaifa zaidi!
 
You must be a lazy dreamer. Iran iliondolewa kwenye SWIFT 2014 na bad inapiga kazi.

Ulaya inaumia zaidi kwa vikwazo hivyo kama anavyoumia Russia. Hakuna mshindi katika hilo.
unaongelea nchi zaidi ya 30 nyingi zikiwa advanced economies against a single nation ambayo yenyew imshawahi kukiri uchumi wake hauko diversified kihivyo halafu useme maumivu yatakuwa sawa?? au usawa upi huo unaomaanisha
 
MR BEN mifano yako haihusiani, umekoroga.
Kama una kijana wako anasoma Russia basi ujue hali ya utumaji fedha nchini humo imeanza kutatizika mifumo ya benki kuu yake imeelemewa na mingine haina access na International systems.

Wewe unapiga kwa makombora mwenzako anautandika uchumi wako ni lazima ama uombe poo au ukimbilie nyuklia kwa kuchanganyikiwa.

Vita ya uchumi ni mbaya sana, huu ulikuwa ni wosia wa mwisho wa Rais Magufuli pale St Peters Oysterbay.

Mungu wa mbinguni mpumzishe kwa amani Joseph Magufuli!
 
hiyo fedha hata ianguke kwa 100% haijalishi. Ikiwa Urusi anataka kununua nje ya nchi ndio issue lakini ndani ya nchi haijalishi kama matumizi ni ndani kwa bidhaa wanazozizalisha wao. Lakini pia wanaotaka kununua vitu Urusi watabidi walipe kiasi ambacho Mrusi anataka kwa mujibu wa makubaliano.
haha uliza zimbabwe tu hapo jirani yako akuambie kama it was easy hahaha, acha kuota kijana, Putin kichwa kitakua kimewaka right now.

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom