Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Haya tupe matokeo ya hayo mazungumzo yamekuwaje?Nani aliekataa mazungumzo baadae akakubali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya tupe matokeo ya hayo mazungumzo yamekuwaje?Nani aliekataa mazungumzo baadae akakubali?
Mayele kafungaHaya tupe matokeo ya hayo mazungumzo yamekuwaje?
Leo putin ameshakutana na washauri wake wa uchumi, baada ya leo tu thamani ya pesa yao kushuka thamani kwa kiwango kikubwa sana!!ambacho hakijawahi tokea kwa kipindi cha miaka 10!!na wamewataka wafanya biashara waanze kutunza pesa zao ktk pesa ya urusi.Hawawezi kukuelewa hawa Pro Russia,sijui hawaoni panic iliyopo Russia na kilio cha Waziri wa Mambo ya Nnje anachokitoa baada ya hizo sanctions kuwa effected,wao wako busy na "Russia humuwezi ana Nukes za kutosha",Dunia ya leo nani anapigana vita vya maguvu peke yake na akafanikiwa.
Sasa wangekaa tu watizame.......hata hao walioshambuliwa wanajitetea kwani walibweteka tu?Leo putin ameshakutana na washauri wake wa uchumi, baada ya leo tu thamani ya pesa yao kushuka thamani kwa kiwango kikubwa sana!!ambacho hakijawahi tokea kwa kipindi cha miaka 10!!na wamewataka wafanya biashara waanze kutunza pesa zao ktk pesa ya urusi.
Sio kukaa tu!!ila zamu hii kwa vikwazo hivi wananchi wake watakuwa na maisha magumu mnooo!!kwani karibu wababe wote wa dunia wameamua kumpa adabu!!!huwezi ukawa na ubabe wa kishamba kwa dunia hii ya sasa!!Sasa wangekaa tu watizame.......hata hao walioshambuliwa wanajitetea kwani walibweteka tu?
Kipindi anawekewa vikwazo alivyoimega crimea hakuomba kuondolewa vikwazo ila mabepari wenyewe waliona wamejipiga na kitu kizito kichwani wakaachia........hii inaenda kujirudia tena.......mchina akipata cheap resources toka kwa mrusi hakuna nchi ya kibepari itakayoweza kushindana nayo kwa lolote kiuchumi....kumbuka mmarekani na wenzake wanajitahidi kurudisha uzalishaji kwenye nchi zao ili wampunguze speed mchina........hili wanalofanya miaka michache ijayo litajibuSio kukaa tu!!ila zamu hii kwa vikwazo hivi wananchi wake watakuwa na maisha magumu mnooo!!kwani karibu wababe wote wa dunia wameamua kumpa adabu!!!huwezi ukawa na ubabe wa kishamba kwa dunia hii ya sasa!!
Vipi kuhusu tishio la kuishambulia Taiwan 🇹🇼 kwamba ni jimbo lake???Wewe marafiki zako akina Kim Jong , sjui India , mara Iran , wote maskini tu hela hawana ...!!! China hela anayo Ila huo ujinga wa vita hawez fanya 😀😀😀
Wameshaapa watatafuta vyanzo vya nishati toka nchi nyingineEU wanafanya biashara na Urusi kwa kiasi kikubwa mfano Finland inaitegemea soko la Urusi kwa asilimia zaidi ya 60. Hapo hujazugumzia Ujerumani na wengine.
Bidhaa muhimu kama gesi asilia na mafuta kwa 60% wananunua toka Urusi. Nani anafaidi hapo? Nani anaumia?
Vyanzo sio kama havipo,,,,,....ishu ni gharama,,........gharama ikiongezeka ni kwamba bidhaa zako zitakua ghali, na gharama za maisha za watu wako zitapandaWameshaapa watatafuta vyanzo vya nishati toka nchi nyingine
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Syria na vikwazo vyote alivyowekewa vipi umeona wameyumba? Korea kaskazin Cuba vipi
Naona mmevurugwa haswa,fanyeni kutetema sasa kama Mayele,mlidhani mziki wa Ukraine ni mwepesi kama Crimea,ya Georgia yanakwenda kuwakuta tena.Mayele kafunga
Sasa huyo Mchina yu wapi sasa hivi kumsaidia rafiki yake? Unadhani Mchina yeye hajipendi,tangu alivyopigwa mkwara tena kidogo tu kupitia Huawei,alishaamua yeye adili na biashara tu.Huu ubabe wa maguvu kabaki nao Putin peke yake.Kipindi anawekewa vikwazo alivyoimega crimea hakuomba kuondolewa vikwazo ila mabepari wenyewe waliona wamejipiga na kitu kizito kichwani wakaachia........hii inaenda kujirudia tena.......mchina akipata cheap resources toka kwa mrusi hakuna nchi ya kibepari itakayoweza kushindana nayo kwa lolote kiuchumi....kumbuka mmarekani na wenzake wanajitahidi kurudisha uzalishaji kwenye nchi zao ili wampunguze speed mchina........hili wanalofanya miaka michache ijayo litajibu
Vikwazo washamuwekea sasa,akae na gesi yake kama itamsaidia kitu,au unadhani yeye Russia hahitaji kuuza hiyo gesi nnje ya Nchi yake?Vyanzo sio kama havipo,,,,,....ishu ni gharama,,........gharama ikiongezeka ni kwamba bidhaa zako zitakua ghali, na gharama za maisha za watu wako zitapanda
Ficheni ushamba. Unataka China Aanze na Ukraine? Unaumwa wewe
Iran hajalipa UN sio kwa sababu hana hela, halipi UN kwa sababu haoni sababu ya kulipa,Vikwazo visikie, Iran mpaka ameshindwa kulipa mchango wake UN kwasababu ya ukata, kazidiwa na Tanzania nchi ndogo kwenye world statge.
Kwani mchina kasema haitaji?au wanunuzi ni mabepari tu........ngano yake wamesusia mchina anabeba tena anawaambia wananchi wake wazaliane kwa wingi msosi unakujaVikwazo washamuwekea sasa,akae na gesi yake kama itamsaidia kitu,au unadhani yeye Russia hahitaji kuuza hiyo gesi nnje ya Nchi yake?
Sasa sapoti lazima ukapigane ?wewe utaona mchina atakapoingia kwenye hii issue na wala hatajihusisha na vita kama urusi ......yeye atampiga huyo beberu wenu kiuchumi maana atapata resources za kutosha na kwa bei rahisi toka kwa mrusiSasa huyo Mchina yu wapi sasa hivi kumsaidia rafiki yake? Unadhani Mchina yeye hajipendi,tangu alivyopigwa mkwara tena kidogo tu kupitia Huawei,alishaamua yeye adili na biashara tu.Huu ubabe wa maguvu kabaki nao Putin peke yake.
Abramovic huko anamposa mzee wenu wa comedyNaona mmevurugwa haswa,fanyeni kutetema sasa kama Mayele,mlidhani mziki wa Ukraine ni mwepesi kama Crimea,ya Georgia yanakwenda kuwakuta tena.