Hii vita ni Makombora vs Vikwazo vya kiuchumi, mmoja anakaribia kuomba poo!

Hii vita ni Makombora vs Vikwazo vya kiuchumi, mmoja anakaribia kuomba poo!

Nchi za magharibi wajanja sana, hawajaweka vikwazo kwenye mafuta wala gesi. 20% ya mafuta yanayotumika uraya yanatoka Russia na kwa upande wa gesi na zaidi ya hapo.
RUSSIA nae mjanja kwakujua hilo misamaha yote ya kodi wamefuta kama walikua wananunua kwa 1000 sasa watanunua kwa 5000
walipolalia PUTIN kaamkia huko muda sanaaaa
 
Iran hiyo unayoijua ww.Weka ushabiki pembeni IRAN wananchi wake wanna hali ngumu sana.
Ukitaka kujua fuatiliaga ht vipindi vya aljazeera 101 east uone maisha mtaani ya wananchi wa. Iran yalivyo.
achana na Aljazeera nenda IRAN kwenyewe yes hali ngumu imeletwa kiasi fulani na vikwazo ila kama ndio pale IRAN ina vikwazo nikheri wakaendelea kua na vikwazo kuliko sisi huku tunaoishi bila vikwazo halaf hatueleweki
naamini RUSSIA ataathirika na hivi vikwazo ila sio kama IRAN au kama ZIMBABWE kuhusiana na IRAN usiniambie niangalie JAZEERA siijui saaaana IRAN ila naijua IRAN kuliko mnavyoaminishwa
 
RUSSIA nae mjanja kwakujua hilo misamaha yote ya kodi wamefuta kama walikua wananunua kwa 1000 sasa watanunua kwa 5000
walipolalia PUTIN kaamkia huko muda sanaaaa
Bro vitu ambavyo Russia anavyo vinawexa kupatikana maeneo mengine pia hususan middle East.
Bado alichokifanya hawezi kufidia hasara aipatayo.
 
achana na Aljazeera nenda IRAN kwenyewe yes hali ngumu imeletwa kiasi fulani na vikwazo ila kama ndio pale IRAN ina vikwazo nikheri wakaendelea kua na vikwazo kuliko sisi huku tunaoishi bila vikwazo halaf hatueleweki
naamini RUSSIA ataathirika na hivi vikwazo ila sio kama IRAN au kama ZIMBABWE kuhusiana na IRAN usiniambie niangalie JAZEERA siijui saaaana IRAN ila naijua IRAN kuliko mnavyoaminishwa
Vikwazo alivyowekewa Russia aisee ni mara Mia ya vya Iran.
Vikwazo vya Russia vibaya sana yani ni sawa na dunia kumtenga.
Muda utaeleza Kila kitu
 
Athari watazopata EU ni inversely proportional na watakazopata Russia.
Na athari zitakazowajia EU ni rekebishi tena kirahisi.
Ila athari atazopata na anazopata Russia zitamrudisha karne ya 15.
RUSSIA haiwezi kufikia huko acheni propaganda
ingawaje vikwazo vitamplekesha sana sana saana na upande fulani UCHINA kumpiga jeki kwenye NGANO na GESI kunazidi kumpa RUSSIA unafuu mkubwa saana
 
Bro vitu ambavyo Russia anavyo vinawexa kupatikana maeneo mengine pia hususan middle East.
Bado alichokifanya hawezi kufidia hasara aipatayo.
kama ulimsikia juzi kansela wa GERMAN kuhusiana na hv vikwazo ungenielewa nnacho kisema
kama kansela wa taifa kubwa kama GERMAN kaongea maneno yale mie nani mpaka nibishe MKUU?
 
Ndugu hehehe ungekua umesomea political science ktk kipengele Cha poli-economics ungeweka ushabiki kando.
China pekee haitoshi kuweza kustabilize uchumi wa Russia ndugu.
Na pia inategemea China inahitaji hizo bidhaa toka Russia kwa kiwango gani.
Reference ipo ya Cuba.
Inachojaribu kufanya Russia now ndicho ilichofanya Cuba na ikafeli
RUSSIA haiwezi kufikia huko acheni propaganda
ingawaje vikwazo vitamplekesha sana sana saana na upande fulani UCHINA kumpiga jeki kwenye NGANO na GESI kunazidi kumpa RUSSIA unafuu mkubwa saana
 
kama ulimsikia juzi kansela wa GERMAN kuhusiana na hv vikwazo ungenielewa nnacho kisema
kama kansela wa taifa kubwa kama GERMAN kaongea maneno yale mie nani mpaka nibishe MKUU?
Kaka hujabishiwa.
Ila nakuomba rejelea kiumakini nilichokwambia utanielewa nimelenga nn .
 
Vikwazo alivyowekewa Russia aisee ni mara Mia ya vya Iran.
Vikwazo vya Russia vibaya sana yani ni sawa na dunia kumtenga.
Muda utaeleza Kila kitu
upo sahihi MKUU jamaa kapigwa vikwazo vile vya hali ya juu kabisa
ila nakuhakikishia haviwezi vikawa vikwazo vyakudumu ama vyamuda mrefu kama hvyo vya IRAN nawamempiga RUSSIA vikwazo hvyo sabau wanajua kua wana deal na RUSSIA sio IRAN inatakiwa ukipigana namkubwa mwenzako upigane nae kikubwa ndio hii ya RUSSIA
ubaya nikwamba kibano anachobanwa RUSSIA maumivu yake hata hao wabanaji wanayahisi leo hii kufungia anga lao nae kufunga anga lake bei za nauli zitapanda sababu yaurefu wa ruti hapa pia bei yamafuta itapanda kama safar yalisaa limoja kupitia RUSSIA baada ya vikwazo watatumia masaa manne au matano ama zaidi
MKUU tuupe muda nafasi yake hem uamue juu ya hili
 
Ndugu hehehe ungekua umesomea political science ktk kipengele Cha poli-economics ungeweka ushabiki kando.
China pekee haitoshi kuweza kustabilize uchumi wa Russia ndugu.
Na pia inategemea China inahitaji hizo bidhaa toka Russia kwa kiwango gani.
Reference ipo ya Cuba.
Inachojaribu kufanya Russia now ndicho ilichofanya Cuba na ikafeli
mie nakuelewa sana MKUU ila faida moja wapo yakufanya biashara na UCHINA nikwamba jamaa wana idadi kubwa yawatu utakuta gesi wanayouza RUSSIA kwamataifa ya EUROPE kwa week nzima ama mwezi anaweza akaiuza kwa UCHINA marambili yake
kwenye hili sio kwamba ataitegemea UCHINA tu hapana nimemfanya kama mfano tu hao EUROPE wenyewe bado wanamtegemea RUSSIA kwenye gesi licha ya vikwazo wanavyompiha
QATAR aliwaambia gape atakaloliacha RUSSIA kwenye nishati ikitokea mumempiga ban hakuna nchi inaweza kulijaza kwasasa
 
Kama una kijana wako anasoma Russia basi ujue hali ya utumaji fedha nchini humo imeanza kutatizika mifumo ya benki kuu yake imeelemewa na mingine haina access na International systems.

Wewe unapiga kwa makombora mwenzako anautandika uchumi wako ni lazima ama uombe poo au ukimbilie nyuklia kwa kuchanganyikiwa.

Vita ya uchumi ni mbaya sana, huu ulikuwa ni wosia wa mwisho wa Rais Magufuli pale St Peters Oysterbay.

Mungu wa mbinguni mpumzishe kwa amani Joseph Magufuli!
Hiyo poo utaisubir sana
 
mie nakuelewa sana MKUU ila faida moja wapo yakufanya biashara na UCHINA nikwamba jamaa wana idadi kubwa yawatu utakuta gesi wanayouza RUSSIA kwamataifa ya EUROPE kwa week nzima ama mwezi anaweza akaiuza kwa UCHINA marambili yake
kwenye hili sio kwamba ataitegemea UCHINA tu hapana nimemfanya kama mfano tu hao EUROPE wenyewe bado wanamtegemea RUSSIA kwenye gesi licha ya vikwazo wanavyompiha
QATAR aliwaambia gape atakaloliacha RUSSIA kwenye nishati ikitokea mumempiga ban hakuna nchi inaweza kulijaza kwasasa
China natural gas anaivuna pale south China Sea hawezi akanunua kwa kiwango kikubwa gas Russia ilhali south China Sea anaivuna kwasasa.
Duniani gas haipo Russia pekeake vivyo hvyo ilivyo kwa mafuta hayapo kwa waarabu pekee.
 
Aya lakini ukitixama
upo sahihi MKUU jamaa kapigwa vikwazo vile vya hali ya juu kabisa
ila nakuhakikishia haviwezi vikawa vikwazo vyakudumu ama vyamuda mrefu kama hvyo vya IRAN nawamempiga RUSSIA vikwazo hvyo sabau wanajua kua wana deal na RUSSIA sio IRAN inatakiwa ukipigana namkubwa mwenzako upigane nae kikubwa ndio hii ya RUSSIA
ubaya nikwamba kibano anachobanwa RUSSIA maumivu yake hata hao wabanaji wanayahisi leo hii kufungia anga lao nae kufunga anga lake bei za nauli zitapanda sababu yaurefu wa ruti hapa pia bei yamafuta itapanda kama safar yalisaa limoja kupitia RUSSIA baada ya vikwazo watatumia masaa manne au matano ama zaidi
MKUU tuupe muda nafasi yake hem uamue juu ya hili
EU Ina mataifa yaliyoendelea kiuchumi ila Urusi Ana nchi moja to inayojiweza kiuchumi(China).
Ngojea tuone mwisho wake.
 
Tuko porini uku msafara wetu wa 40km umeishiwa mafuta.na magari ya mafuta nayo yameishiwa mafuta[emoji81][emoji81][emoji81]
 
Nakumbuka kipindi cha Huawei anabanwa na vikwazo watu walisema havina maana, na wao Huawei mwanzoni walijua wataweza kutoboa lakini waulize waliko mda huu.
 
Na China alivyo mnjanja katika hili kamwachia apambane na hali yake,ile tamu China aliyoonjeshwa kidogo tu kupitia kampuni ya Huwaei,hana hamu,nani kwa sasa anataka kutumia simu isiyo na apps za either Android au App store?
Unanipa raha sana unavowanyoosha hawa warussi wa kinondoni.
Alaf naskia ukraine wajuba wa nchi mbalimbali wameingia kutoa suppport alidhan ni rahisi mtu mzima ovyo Putin anaumbukaa
 
Syria na vikwazo vyote alivyowekewa vipi umeona wameyumba? Korea kaskazin Cuba vipi
Haikufikia hatua hii kama ya russia, vikwazo viko vingi sana hii ya russia ni ya kufa mtu., russia hataweza kuuza na kununua ni juzi tu riba imepanda mara dufu benki zao zimetangaza kutoka 9.6% mpaka 20%.,
 
Back
Top Bottom