Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
Nimesikia leo kuwa mchezaji Ibrahim Ajib wa klabu ya Yanga kaomba asicheze mechi leo dhidi ya KMC kwa kuwa anaumwa.
Nimekuwa natafakari sana suala hili kwani mie hupendelea sana kumuona akicheza uwanjani. Ni kawaida mchezaji kutaka acheze mechi kwani ndo shughuri yake na kutocheza mechi ni daktari na koca ndio huamua mchezaji asicheze mechi kwa sababu za ugonjwa au ufundi.
Hii ya Ajib, kali!!!!!!!!
Nimekuwa natafakari sana suala hili kwani mie hupendelea sana kumuona akicheza uwanjani. Ni kawaida mchezaji kutaka acheze mechi kwani ndo shughuri yake na kutocheza mechi ni daktari na koca ndio huamua mchezaji asicheze mechi kwa sababu za ugonjwa au ufundi.
Hii ya Ajib, kali!!!!!!!!