Usimfuate PM mwanamke wahivi
[emoji117]Ambaye toka ajiunge JF hajawahi Kupost ( kutoa uzi wake).
[emoji117]ambaye kwenye koment zake anasema ivi "* aisee, hahaa, good ,OK , sawa"* ..yaan short answer.
[emoji117]Ambaye anaandika Nyuzi za Aibu aibu ambazo kiuhalisia mwanamke hawezi andika.
[emoji117]mwanamke anayeandika mambo kwa uchambuzi Wa hali juuu yaaaan kama nimambo ya Kisiasa/Kidunia yeye anajua sanaaaaaa akiandika mpaka unasema yes ...( kikawaida wanawake Wa wavivu wakufatilia izo mambo ,,wanawake wapo obsessed na mambo yanayowapa Furaha tu (ndo maana utakuta mwanamke anaolewa nachoka mbaya akat kwao wapo vzuri ).
[emoji117]*Kwenda kwa makini ktk ID za wanawake ambao anamiaka mingi 2+++ lkn anapost Mbili au tatu).
[emoji117]ID za namna hiii huwa wanakua na ID mbili moja yakiume , moja ya kujifanya jike
[emoji117]ID wanaolia sana kuumizwa na wanaume wao ,, alafu ukifatilia komenti zake , unagundua alikua analia kinafiki..looking for a Mercy
[emoji117]Hizi nibaadhi ya Viashiria ambavyo ukiviona anza kutia mashaka.
Sasa mnaweza endelea kufatilia Ninani ni nani kupitia izo hints .
NB... Kwa uchunguzi Wangu usokua Rasimi