Hii ya dume kutumia avatar ya kike imekaa vipi?

Hii ya dume kutumia avatar ya kike imekaa vipi?

Siku hizi humu hata wadada wanajipigia sn promo uwe makini tu.


Ukiwa mtu wa kuingia pm za watu kila uonapo comment tu utaishia pabaya
 
Nainakuwaje mtu unatumia avatar ila hata tu kuweka wazi kama wewe ni male au ni female inakuwa kazi me sioni tofauti hapo yamtu ambaye ameshindindwa kujipambanua kuwa yeye ni mwanamke au mwanaume nahuyo unayemzungumzia wewe
 
Usimfuate PM mwanamke wahivi

[emoji117]Ambaye toka ajiunge JF hajawahi Kupost ( kutoa uzi wake).
[emoji117]ambaye kwenye koment zake anasema ivi "* aisee, hahaa, good ,OK , sawa"* ..yaan short answer.
[emoji117]Ambaye anaandika Nyuzi za Aibu aibu ambazo kiuhalisia mwanamke hawezi andika.
[emoji117]mwanamke anayeandika mambo kwa uchambuzi Wa hali juuu yaaaan kama nimambo ya Kisiasa/Kidunia yeye anajua sanaaaaaa akiandika mpaka unasema yes ...( kikawaida wanawake Wa wavivu wakufatilia izo mambo ,,wanawake wapo obsessed na mambo yanayowapa Furaha tu (ndo maana utakuta mwanamke anaolewa nachoka mbaya akat kwao wapo vzuri ).
[emoji117]*Kwenda kwa makini ktk ID za wanawake ambao anamiaka mingi 2+++ lkn anapost Mbili au tatu).
[emoji117]ID za namna hiii huwa wanakua na ID mbili moja yakiume , moja ya kujifanya jike
[emoji117]ID wanaolia sana kuumizwa na wanaume wao ,, alafu ukifatilia komenti zake , unagundua alikua analia kinafiki..looking for a Mercy

[emoji117]Hizi nibaadhi ya Viashiria ambavyo ukiviona anza kutia mashaka.

Sasa mnaweza endelea kufatilia Ninani ni nani kupitia izo hints .

NB... Kwa uchunguzi Wangu usokua Rasimi
Hapo pekundu, nitaomba tume huru iundwe kukagua jinsia ya Demiss.
Katika iyo tume mimi nitakuwa mwenyekiti.
Ambao wako tayari tuonane
Cc Demiss
 
Ukiona mwanaume anapenda penda mambo ya kike kike ujue 0715 inamuwasha washa
 
Jina halina shida kwakuwa wengi wetu hawatumii majina harisi isipokuwa tunaweza tambuana kwa kutumia avatar mume atumie ya kiume mke atumie ya kike lakini hii ya mume kutumia avatar ya kike kunatupa shaka juu yake
 
Siku hizi humu hata wadada wanajipigia sn promo uwe makini tu.


Ukiwa mtu wa kuingia pm za watu kila uonapo comment tu utaishia pabaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom