Hii ya dume kutumia avatar ya kike imekaa vipi?

Hii ya dume kutumia avatar ya kike imekaa vipi?

Jina halina shida kwakuwa wengi wetu hawatumii majina harisi isipokuwa tunaweza tambuana kwa kutumia avatar mume atumie ya kiume mke atumie ya kike lakini hii ya mume kutumia avatar ya kike kunatupa shaka juu yake
Harisi = Halisi.
 
Nilikuwa nimeshasikia lakini sikuamini kuwa, kuna midume humu inayotumia avatar ya kike ili kudanganya watu kuwa wao ni wanawake! Inaonekana jambo hili ni kweli. Watu wanajikuta wametembelea pm za midume mitapeli inayopozi kama wasichana warembo!
Hebu wenye uzoefu tuelezeni jinsi ya kuwagundua watu kama hao. Nawasilisha.
Wengine ni matapeli wengine machoko. Ni hivyo tu
 
Dunia imegeuka saivi. Nasikitika kuna wanaume wanafanya hivyo ili kutapeli watu ama kutafuta soko. Kama yule wa maeneo ya Tanga. Yeye kabidilisha mpaka mavazi maana anavaa mawigi, amejimake up vya kutosha ila ukishafika naye hoteli akiwa naked ndo unamgundua ni man. Hakika uanaume ni kitu ambacho kinatoweka duniani kwa kasi ya ajabu. Na hii ni dalili ya kutawala mwanamke na ndo dunia itakua bai bai.
 
Back
Top Bottom