Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,471
Harisi = Halisi.Jina halina shida kwakuwa wengi wetu hawatumii majina harisi isipokuwa tunaweza tambuana kwa kutumia avatar mume atumie ya kiume mke atumie ya kike lakini hii ya mume kutumia avatar ya kike kunatupa shaka juu yake
Wengine ni matapeli wengine machoko. Ni hivyo tuNilikuwa nimeshasikia lakini sikuamini kuwa, kuna midume humu inayotumia avatar ya kike ili kudanganya watu kuwa wao ni wanawake! Inaonekana jambo hili ni kweli. Watu wanajikuta wametembelea pm za midume mitapeli inayopozi kama wasichana warembo!
Hebu wenye uzoefu tuelezeni jinsi ya kuwagundua watu kama hao. Nawasilisha.
DuHata majina sometimes yanachanganya asee,kama huyu Nichumu Nibebike unaweza kuhisi wa kike ila sio
Ndio. Sema kuna wanawake huwezi kujua kama ni mwandiko wake. Unakua strong sana.Hivi hakuna mtu anayeweza kutambua mwandiko wa kike na wakiumeee
Sasa nichumu unamwambie dem wako au basha zako?Ha haa! Sasa nimeweka picha yangu hapo dp... Embu nicheki nikiwa hapo na hao wasumbufu...
Atakuwa choko huyu bila shakaNaona umetoa ile avatar ya kimdomo kinakiss...hahahh
Kweliiiiiiiii kabisaaaNdio. Sema kuna wanawake huwezi kujua kama ni mwandiko wake. Unakua strong sana.
😱😱😱 Nakwambia wewe...Sasa nichumu unamwambie dem wako au basha zako?
😱😱😱 Nakwambia wewe...
Ushakuwa gay siku hizi?Basi njoo uichumi hii pipe yangu ili uikoki mwenyewe ikikulipua usilalamike.
Nani huyo nanihii!kuna yule naniii anatumia avatar ya kike[emoji40][emoji40]
Baby mamboHata majina sometimes yanachanganya asee,kama huyu Nichumu Nibebike unaweza kuhisi wa kike ila sio
Yupo hivi[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Nani huyo nanihii!
Ukimuona nitonyeYupo hivi[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Ishanitokea kwa husna bosslady,kumbe jina lake halisi michael otieno,nilitoa mistari ya kushiba kumbe namtolea man mwenzangu,lengo lao sijui ni nn!Anhaaa. Kwahiyo wanawachanganya mnajikuta mmewatongoza kumbe madume menzenu.
Hahahahaa. Bora umegundua mapema. Maana ingefikia ile mpaka mnaingia room daahIshanitokea kwa husna bosslady,kumbe jina lake halisi michael otieno,nilitoa mistari ya kushiba kumbe namtolea man mwenzangu,lengo lao sijui ni nn!
Ndio mkuu.Hivi hakuna mtu anayeweza kutambua mwandiko wa kike na wakiumeee