Hii ya kubadilisha KM za gari hivi ni kweli ipo? Kuna gari namba BAC ina KM 38900 TOYOTA KLUGER jamaa anaiuza

Hii ya kubadilisha KM za gari hivi ni kweli ipo? Kuna gari namba BAC ina KM 38900 TOYOTA KLUGER jamaa anaiuza

Kwa hio gari hizo bado ni KM ni chache ni ujinga tu wa wamiliki wa magari bongo + ujinga wa wanunuzi kupenda kudanganywa kwa gari kuonyesha KM chache.

Hio gari hata ikiwa na km 170,000 mimi nainunua bila kelele kabisa lkn ukishaichezea tu KM siitaki hata kwa dawa.

Kweli mkuu barabara za nchi za wenzetu ni rafiki ,halafu sheria zao zinawabana sana kufanya service hivyo hata ikiwa na km hata laki 2 bado inaonekana bado "Mma" aka Mbichi...We angalia coaster hizi zinazokuja huku nyingi zina km laki 2 na ushee.
 
Hii kitu inafanyika kila mahali labda kàma umenunua mpya kwa maana ya Zero Km, kama huamini nenda showroom yoyote, ulizia gari, waiwashe then soma Odometer utakuta ina range 50,000- 70,000km kwa asilimia kubwa kisha sikiliza mngurumo wa engine, kama ni mzoefu utajua tu kuwa imechezewa. Yaani nngurumo wa engine na odometer havina uuhusiano.
La mwisho, angalia kwenye safety belt kunakuaga na sticker au hapa mlangoni kwa chini (nashindwa kukueleza), kunakua na sticker inayoonyesha km gari ilikuja nazo though wengi wale waliobobea huwa wanazitoa, ukikuta wametoa hio label weka mashaka.

Ushauri, usinunue gari Tz kwa ushawishi wa uchache wa km, angalia bajeti yako, umuhimu wako wa kutaka gari muda huo, uzima wa body na kama Haina ajali na legal documents. Huu ni ushauri binafsi
Km halisi hua zipo kwenye document za importation haswa kwenye invoice na tbs certificate ya inspection
 
Niliwahi kununua Kluger namba B kutoka kwa mbongo yenye km 56k. Mwanzoni niliamini amechezea ODO lakini baadaye nilijiridhisha kwa kuona kadi za service kwani zote alizitunza kwa kuzipachika kwenye switch ya wiper. Kwa hiyo gari namba B zenye kilometer chache zipo kweli cha msingi ni kujiridhisha kama ni kweli hizo km ni za halali.
Ina cc ngp Mkuu hyo Kluger? Naitaj kununua hyo gari mkuu, ila yenye 7 seat, .
 
Km halisi hua zipo kwenye document za importation haswa kwenye invoice na tbs certificate ya inspection
Zote hizi zinaeditiwa
KWA na huu mfumo wa kufanya inspection bongo ndiyo imekuwa balaa kabisa.
 
Zote hizi zinaeditiwa
KWA na huu mfumo wa kufanya inspection bongo ndiyo imekuwa balaa kabisa.
Mkuu hauwezi kuedit hizo docs niamini sema tu hio gari BAC ilikuja kabla ya TANCIS maana hio gari imeingia around may 2009 ningekuangalizia vizuri OG KM zake mimi kuna gari namba ni BAC ilikuja na KM 55,000 lakini sasa hivi inasoma 187,000+ ilishakaaga mwaka 1 na miezi nane juu ya mawe...sio rahisi ku edit document zote hizo wanachokifanya wanaouza magari hawakupi invoice na document ya tbs ile inayogongwa muhuri bandarini
 
Mchezo huo upo 100% hapa Tanzania hasa ukinunua kwa mtu asiye mwaminifu/vishoka au madalali, pia kuwa mwangalifu sana unapenda kwenye show room za hapa kwetu mtaani magari mengi yamefanyiwa utundu huo wa kurudisha nyuma Km ili gari ipate sko kwa bei ya faida kubwa.

Kabla ya kununua gari kama hiyo jiridhishe na historia yake toka kwa watu waliokaribu nay , peleleza gereji gani ilikuwa inapelekwa toka kwa watu kama houseboy wa nyumba hiyo, watoto wa nyumbani hapo, majirani na hasa vijana wa mtaani watakupatia details zote muhimu kuhusu mwenendo wa gari husika.

Mwish kabisa take trouble ya kupata document halisi zilizoleta hiyo gari nchini na umjue muuzaji toka huko ilikokuwa then contact him na akiwa na ushirikiano atakupa mre details.
Upelelezi wote huo unanunua Ndege?
 
Mchezo huo upo 100% hapa Tanzania hasa ukinunua kwa mtu asiye mwaminifu/vishoka au madalali, pia kuwa mwangalifu sana unapenda kwenye show room za hapa kwetu mtaani magari mengi yamefanyiwa utundu huo wa kurudisha nyuma Km ili gari ipate sko kwa bei ya faida kubwa.

Kabla ya kununua gari kama hiyo jiridhishe na historia yake toka kwa watu waliokaribu nay , peleleza gereji gani ilikuwa inapelekwa toka kwa watu kama houseboy wa nyumba hiyo, watoto wa nyumbani hapo, majirani na hasa vijana wa mtaani watakupatia details zote muhimu kuhusu mwenendo wa gari husika.

Mwish kabisa take trouble ya kupata document halisi zilizoleta hiyo gari nchini na umjue muuzaji toka huko ilikokuwa then contact him na akiwa na ushirikiano atakupa mre details.
Kufanya haya yote ni bora usinunue hiyo gari.

Umekuwa CIA?
 
Unaulizia oDO meter kuchezewa watu wanafunga mota kubwa siku mbili inaunguluma km 50,000 hizi hapa...
Hiyo mzee hata mota ya feni kwa Gari ndogo unazungusha km vizuri Sana....
Gari bwana, Muite fundi, Awe wako na huyo fundi muwe mnaelewana Sana
, Atasikiliza Mlio wa Gari, atakagua ndani ya Bonet ataingia uvunguni kukagua na vitu vingine then atakupa mrejesho..
Kuna Gari zingine unakuta in good condition Ila kifaa kimoja kimekufa na matengenezo yake Ni 1m +..
Kuna Gari tulikuwa tunaiuza Ni brevis namba C ya mwisho mwisho na haikuwa ya Safari ilikuwa kwa week inawez tembea km zisizo zidi 50... Ila Ila kufa kifaa flani kwenye Sterling kifaa plus matengezo Ni 1.5Ml Sasa mtu ukija kichwa kichwa anachezea za uso.... Bora ujitutumue ukanunue mpya showroom...
 
Niliwahi kununua Kluger namba B kutoka kwa mbongo yenye km 56k. Mwanzoni niliamini amechezea ODO lakini baadaye nilijiridhisha kwa kuona kadi za service kwani zote alizitunza kwa kuzipachika kwenye switch ya wiper. Kwa hiyo gari namba B zenye kilometer chache zipo kweli cha msingi ni kujiridhisha kama ni kweli hizo km ni za hamna kitu kama hicho kwa namba b hata kama iliingia zero mileage
 
://www.autodna.com/vin-check

Kwa kifupi punguza gharama na utapeli wao kwa kuagiza used Car from Japan kwani mie na hela yangu ya kuunga unga nilitembelea maduka mengi sana hapo Dar na mwisho nikagundua kuwa gharama ya kununua gari ndogo show room hapo Dar ni kubwa kuliko kuagiza Japan kwani baada ya kuifikisha show room walikuwa wanaongeza kitu kama M3 - 5 hivi na nilipowauliza hiyo tofauti wakaniambia bra bra kibao pamja na gharama za kulipia pango, kulipia walinzi, wafanyakazi wao, admin issues etc,

Wengi wetu huogopa kuibiwa mtandaoni lakini ukiwa makini hiyo ndio njia muafaka kuwakwepa matapeli wetu na njaa zao

Baba nenda sbt, beforward na wengne kibao wapo hapa bongo
 
Mchezo huo upo 100% hapa Tanzania hasa ukinunua kwa mtu asiye mwaminifu/vishoka au madalali, pia kuwa mwangalifu sana unapenda kwenye show room za hapa kwetu mtaani magari mengi yamefanyiwa utundu huo wa kurudisha nyuma Km ili gari ipate sko kwa bei ya faida kubwa.

Kabla ya kununua gari kama hiyo jiridhishe na historia yake toka kwa watu waliokaribu nay , peleleza gereji gani ilikuwa inapelekwa toka kwa watu kama houseboy wa nyumba hiyo, watoto wa nyumbani hapo, majirani na hasa vijana wa mtaani watakupatia details zote muhimu kuhusu mwenendo wa gari husika.

Mwish kabisa take trouble ya kupata document halisi zilizoleta hiyo gari nchini na umjue muuzaji toka huko ilikokuwa then contact him na akiwa na ushirikiano atakupa mre details.
Hapa naona hatununui gari tena tunafanya kazi za wazee wa kaunda suti[emoji16][emoji16][emoji16]

Hii nchi ngumu sana[emoji849][emoji849][emoji849]
 
Back
Top Bottom