Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Hello.
Jamani nimeenda sehemu fulani kupata chakula na vinywaji, lakini bill ilivyokuja nikashangaa kila kitu kimekuja kwa receipt yake na kila kinywaji kina VAT yake!
Mfano: Soda 4 zimekuja receipt mbili za soda mbili mbili. Chakula kimejua na receipt yake na VAT yake!
Swali je ni sawa? Kwanini kama bill ni 1000/= kwanini isingekata hiyo VAT yao kwenye hiyo 1000/=? Means nimeletewa receipt 6 kila receipt ina VAT yake!
Naomba wataalamu wanieleweshe hapa kama ni sawa au kuna upigaji umetokea!
Hasira za Sumaye nizimalizie hapa hapa leo hotelini!
Jamani nimeenda sehemu fulani kupata chakula na vinywaji, lakini bill ilivyokuja nikashangaa kila kitu kimekuja kwa receipt yake na kila kinywaji kina VAT yake!
Mfano: Soda 4 zimekuja receipt mbili za soda mbili mbili. Chakula kimejua na receipt yake na VAT yake!
Swali je ni sawa? Kwanini kama bill ni 1000/= kwanini isingekata hiyo VAT yao kwenye hiyo 1000/=? Means nimeletewa receipt 6 kila receipt ina VAT yake!
Naomba wataalamu wanieleweshe hapa kama ni sawa au kuna upigaji umetokea!
Hasira za Sumaye nizimalizie hapa hapa leo hotelini!