Mpanda nyangobe
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 762
- 1,688
Mtoto mwenye miaka 11 mkazi wa kijiji cha Ngemo kata Ngemo Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita amezua taharuki kwa kuonekana hai tena baada ya kufariki miaka
minne iliyopita.
Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Geita, Kamishana msaidiizi Henry Mwaibambe
amesema mtoto huyo aliyejulikana kwa jina Leonard Morisha alifariki tarehe 27 mwezi wa 6 mwaka 2017 na kuzikwa kijijini kwao Ngemo ,na kushangaza watu kwa kuonekana
tena katika kijiji cha Segesa wilayani Kahama Oktober 2020 na wazazi wake wakampata na kumtambua tarehe 12 Desemba mwaka huu.
Katika maelezo yake ACP Mwaibambe amesema mama wa mtoto huyo alifahamika
kwa jina a la Tereza Lusolela miaka (48) alithibitisha kuwa kuwa huyo ni mwanaye na baada ya jeshi la polisi kufukua kaburi hakukutwa sanduku Wala vipande vya kanga
ambavyo mama amedai walimzikia mwane miaka minne iliyopita.
Sambamba na hilo ACP Henry Mwaibambe ameziomba hospitali kubwa kumsaidia kimatibabu mtoto huyo kwa sasa haongei
baada ya kuonekana hai huku ulimi wake ukiwa umekatwa.
My take: Kama madaktari bingwa wa hospitali ya rufaa ya mkoani Geita walithibitisha kifo cha huyo dogo ..lakini amepatikana hai basi naamini waafrika tupo mbali sana kiteknologia Ila tuko underrated na wazungu
minne iliyopita.
Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Geita, Kamishana msaidiizi Henry Mwaibambe
amesema mtoto huyo aliyejulikana kwa jina Leonard Morisha alifariki tarehe 27 mwezi wa 6 mwaka 2017 na kuzikwa kijijini kwao Ngemo ,na kushangaza watu kwa kuonekana
tena katika kijiji cha Segesa wilayani Kahama Oktober 2020 na wazazi wake wakampata na kumtambua tarehe 12 Desemba mwaka huu.
Katika maelezo yake ACP Mwaibambe amesema mama wa mtoto huyo alifahamika
kwa jina a la Tereza Lusolela miaka (48) alithibitisha kuwa kuwa huyo ni mwanaye na baada ya jeshi la polisi kufukua kaburi hakukutwa sanduku Wala vipande vya kanga
ambavyo mama amedai walimzikia mwane miaka minne iliyopita.
Sambamba na hilo ACP Henry Mwaibambe ameziomba hospitali kubwa kumsaidia kimatibabu mtoto huyo kwa sasa haongei
baada ya kuonekana hai huku ulimi wake ukiwa umekatwa.
My take: Kama madaktari bingwa wa hospitali ya rufaa ya mkoani Geita walithibitisha kifo cha huyo dogo ..lakini amepatikana hai basi naamini waafrika tupo mbali sana kiteknologia Ila tuko underrated na wazungu