Je, aliugua kabla ya ''kufariki''. Na kama aliugua, alitibiwa wapi? Rekodi zake zipo? Kuna cheti cha kifo? Kuna picha za mazishi? Mazishi yalihudhuriwa na watu gani na wanaweza kutoa ushahidi pasipo shaka? Possibly hii ni janja ya watu fulani kutengeneza mazingira.....