Hii ya Mwanasheria mkuu (AG) kushtakiwa kwa makosa yaliyotendwa na Rais kama taasisi au mtu binafsi akiwa madarakani nimeikubali

Hii ya Mwanasheria mkuu (AG) kushtakiwa kwa makosa yaliyotendwa na Rais kama taasisi au mtu binafsi akiwa madarakani nimeikubali

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Jana nimesikia kupitia mjadala bungeni kwamba sheria inarekebishwa na sasa Rais hatoshtakiwa kama mtu binafsi kwa mambo aliyoyatenda wakati akiwa madarakani na badala yake atashtakiwa Mwanasheria mkuu ( AG)

Mimi siyo mwanasheria lakini nakubaliana na haya marekebisho.

Maendeleo hayana vyama!
 
Jana nimesikia kupitia mjadala bungeni kwamba sheria inarekebishwa na sasa Rais hatoshtakiwa kama mtu binafsi kwa mambo aliyoyatenda wakati akiwa madarakani na badala yake atashtakiwa Mwanasheria mkuu ( AG)

Mimi siyo mwanasheria lakini nakubaliana na haya marekebisho.

Maendeleo hayana vyama!
Taifa la wajinga na mang'ombe
 
Unaanzisha thread huku ukikiri kuwa hujui lakini unapiga vigelegele,hopeless
Jana nimesikia kupitia mjadala bungeni kwamba sheria inarekebishwa na sasa Rais hatoshtakiwa kama mtu binafsi kwa mambo aliyoyatenda wakati akiwa madarakani na badala yake atashtakiwa Mwanasheria mkuu ( AG)

Mimi siyo mwanasheria lakini nakubaliana na haya marekebisho.

Maendeleo hayana vyama!
 
Viongozi wa nchi ndio wanaotakiwa kuwa mfano kwa wananchi wanaowaongoza. Iwapo wao wanataka wasiwajibishwe kwa kuvunja sheria zilizowekwa na bunge, watapata wapi uhalali wa kuwaadhibu wananchi watakapovunja sheria hizo hizo? It does not make sense at all. It is pure selfishness. It is only criminals who will seek such protection.
 
Watanzania wengi ni wajinga sana. Mitazamo hii inalipeleka Taifa hili Zimbambwe kwa kasi sana!
Nafurahi namna Kenya wanaenda! hata kama ni taratibu lakini ni hakikaka watafika mahali wanaenda.
Siku moja tutawashangaa na kujiuliza, wamefikaje huko?!
 
Jana nimesikia kupitia mjadala bungeni kwamba sheria inarekebishwa na sasa Rais hatoshtakiwa kama mtu binafsi kwa mambo aliyoyatenda wakati akiwa madarakani na badala yake atashtakiwa Mwanasheria mkuu ( AG)

Mimi siyo mwanasheria lakini nakubaliana na haya marekebisho.

Maendeleo hayana vyama!
Yohana mbatizaji.

Huu ushabiki wenu wa bila kufikiri lazima siku moja kama nchi tujute wote. Isidanganyike na ukada
 
Wewe ni mbumbumbu! Yaani Rais aamrishe kama ilivyo sasa hivi kwenye ile nchi ya asali na maziwa kuwa watu watekwe, wateswe, wauawe etc halafu aje kushtakiwa mtu mwingine?!
Wakati anaamrisha AG anakuwa wapi?!
 
Jana nimesikia kupitia mjadala bungeni kwamba sheria inarekebishwa na sasa Rais hatoshtakiwa kama mtu binafsi kwa mambo aliyoyatenda wakati akiwa madarakani na badala yake atashtakiwa Mwanasheria mkuu ( AG)

Mimi siyo mwanasheria lakini nakubaliana na haya marekebisho.

Maendeleo hayana vyama!
Braza najua una akili.. na najua huu ni upumbav . Ila sababu ni ajira yako huna namna. Lazima utetee.
Anyway.. back to the topic.
Ni kuwa Hapo AG anaangushiwa zigo.. na ndio mwanya wa rais kufanya atakalo. Si anajua AG ndio mbeba gunia la misumari.
Hii sheria inaenda kuondoa uwajibikaji kwa viongozi wa juu.
 
Viongozi wa nchi ndio wanaotakiwa kuwa mfano kwa wananchi wanaowaongoza. Iwapo wao wanataka wasiwajibishwe kwa kuvunja sheria zilizowekwa na bunge, watapata wapi uhalali wa kuwaadhibu wananchi watakapovunja sheria hizo hizo? It does not make sense at all. It is pure selfishness. It is only criminals who will seek such protection.
AG ni kiongozi muhimu sana na ndio maana anaingia katika mihimili yote mitatu!
 
Braza najua una akili.. na najua huu ni upumbav . Ila sababu ni ajira yako huna namna. Lazima utetee.
Anyway.. back to the topic.
Ni kuwa Hapo AG anaangushiwa zigo.. na ndio mwanya wa rais kufanya atakalo. Si anajua AG ndio mbeba gunia la misumari.
Hii sheria inaenda kuondoa uwajibikaji kwa viongozi wa juu.
Na kama AG hataki kubebeshwa hilo gunia kwanini asijiuzulu?

Ni rahisi kumshtaki AG kuliko Rais mstaafu kama ilivyo sasa!
 
Chalinze waandamane kudai haki zao za msingi kama maji na umeme Rais aamuru police force kumuua kiongozi wa waandamanaji, polisi watekeleze halafu mwanasheria mkuu ambaye hana cheo cha u Amiri jeshi mkuu ashitakiwe!!!!!
Very stupidity.
Hii sheria itakuwa nzuri endapo AG atapewa mamlaka ya moja kwa moja juu ya vyombo vyote vya ulinzi na usalama
 
Jana nimesikia kupitia mjadala bungeni kwamba sheria inarekebishwa na sasa Rais hatoshtakiwa kama mtu binafsi kwa mambo aliyoyatenda wakati akiwa madarakani na badala yake atashtakiwa Mwanasheria mkuu ( AG)

Mimi siyo mwanasheria lakini nakubaliana na haya marekebisho.

Maendeleo hayana vyama!
Monkey
 
Back
Top Bottom