Hii ya Mwanasheria mkuu (AG) kushtakiwa kwa makosa yaliyotendwa na Rais kama taasisi au mtu binafsi akiwa madarakani nimeikubali

Wanasheria na watu "rational" wamepinga marekebesho haya ila bunge likayapitisha. Kilichobaki ni kuyapinga mahakama za juu. Huko ndiko haki itatendeka.
 
Na kama AG hataki kubebeshwa hilo gunia kwanini asijiuzulu?

Ni rahisi kumshtaki AG kuliko Rais mstaafu kama ilivyo sasa!
Anaweza. Lakin ajue risk ya kaiz yake. Rais akiboronga gunia la.misumari lina.muhusu.
Ila kwann rais asibebe madudu yake anapoboronga. Kwann abebeshwe mwingine?
 
Hivi mwanasheria mkuu anaweza mkataza Magu asifanye jambo, Magu alilokusudia kufanya? Hapa kazi AG anayo. Labda waseme sio AG binafsi atashitakiwa, bali ofisi yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…