Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,818
- 5,555
Kwahiyo mtu anaona bora afe na uanaume wake kuliko atibiwe!!! Aiseeee!!! Saaaaaasa mama naniliu inakuwaje!!
Sijui huu ugonjwa unasababishwa na nini , na waheshimiwa wengi wameondoka nao wengine wapo na wamefanyiwa operationKwahiyo mtu anaona bora afe na uanaume wake kuliko atibiwe!!! Aiseeee!!! Saaaaaasa mama naniliu inakuwaje!!
Ukurupukaji wa kiwango cha lami.
Tofautisha ugonjwa wa tezi dune na kansa ya tezi dume.
Jk alikuwa na tatizo la tezi dume na si tatizo la kansa ya tezi dume.
Huyo mama kazungumzia tatizo la kansa ya tezi dume
"Retrograde ejaculatulion" ni kilele (mshindo) kikavu (shahawa zisizo na mbegu).Ila unapata retrograde ejaculation. No discussion on that
Safi sanaBwana yule
HE!Ukurupukaji wa kiwango cha lami.
Tofautisha ugonjwa wa tezi dune na kansa ya tezi dume.
Jk alikuwa na tatizo la tezi dume na si tatizo la kansa ya tezi dume.
Huyo mama kazungumzia tatizo la kansa ya tezi dume
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Na hiyo avatar yako sasa, mwe mwe mwe
Why [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ?[emoji848] Yaani wejamaa nizaidi ya mchochezi
Akuuu!Nimefanyiwa upasuaji niko rijali kabisa, nijaribu usimulie badala ya kudhania tu, hahahaaaa
Hata mimi pia nilifuatilia hicho kipindi na nilimsikia huyo Daktari akisema hivyo. Tatizo jingine ni kwamba namna inayotumika kupima ugonjwa huu wa tezi dume sio nzuri kwa mwanaume, sababu ni lazima Daktari akuingizie vidole kwenye njia ya "haja kumbwa" ili aweze kuzigusa tezi hizo na kuhisi ukubwa wa tezi hizo. Hapo ndipo penye shida kubwa sana. Wanaume wachache sana wanakubali hicho kipimo, wengi wao wakifika hospitali na wakiambiwa inatakiwa wapimwe kwa namna hiyo huwa wanakataa na kuondoka.
Hata mimi pia kamwe siwezi kukubali kipimo kama hicho hata kama Daktari ni mwanamke. Ee, MUNGU BABA, pitishia mbali baala hili. Ameni.