Hii ya wake wa viongozi wastaafu kuanza kulipwa ni zaidi ya too much

Hii ya wake wa viongozi wastaafu kuanza kulipwa ni zaidi ya too much

Hivi hawa Watawala wetu huwa WANAWASHAURI kweli?..huwa wanajipa muda wa KUTAFAKARI haya mamiswada yao FEKI?

Pia nani kawaambia kwamba Mama Maria ,Mama Mkapa,na Mama Magufuli wanashindwa kujimudu?

Wamemuhoji mama Samia kwamba anashindwa kabisa kumhudumia mumewe,ambaye pia ni Mfanyakazi wa serikali mstaafu

Mh Kikwete naye ameshindwa? Mzee Mwinyi ambaye Mwanae ni Rais ameshindwa kumuhudumia wake zake?..Mh Mpango, Lowassa?.Sumaye na wote?..

Sasa base/msingi wa hayo MAFAO mnayatoa wapi labda?..INASIKITISHA na KUSHANGAZA kwa kweli!
 
Hivi hao wenza si huwa wanawaachia matrilioni kwenye akaunti, sasa mnataka mlipwe nini tena?
 
Mbona kama vile nchi hii ina Ufa mkubwa sana wa kujali raia wake?

Yaani mwanajeshi mstaafu kapigana vita Uganda na kaponea chupuchupu mara kadhaa vitani, daktari aliyestaafu miaka ya 1990 na Mungu amempa maisha mpaka leo au Mwalimu aliyekuwa anatumika kwa moyo wote miaka hiyo bahati mbaya kwa serikali HAJAFA hadi leo anapokea kutoka HAZINA shs laki moja kama pension kila mwezi lakini eti wake wa viongozi nao wawe wanalipwa mamilioni 25% ya mishahara waliyokuwa wanalipwa waume zao?

Basi nchi hii ni tajiri sana! Lakini kwa nini haiwakumbuki basi hata hawa wazee waliolitumikia taifa kwa moyo mmoja enzi hizo.

Kumbukeni nazungumzia wastaafu walio staafu zamani 1998 kwenda nyuma kabla ya mifuko ya jamii haijaanza na wanalipwa na Hazina.
Kwanza sidhani kama wastaafu hawa wanazidi 5000 nchi nzima maana wengi wametangulia mbele ya haki waliobaki ni mateso tuu.

Mara ya mwisho kiwango hiki kupanda na kuwa laki moja ni miaka 10 iliyopita wakati wa JK. Waoneeni huruma acheni uchoyo.

View attachment 2744590View attachment 2744592
CCM haina cha maana cha KUFIKIRI tena,huo ndio upuuzi wao na hilo ndio Bunge la ngedere likiongozwa na spika ngedere.
 
Hao wake wenza kazi Yao haswa ni nini mpaka wapewe pensheni? Kutandaza miguu au kutoa gymnastic style?
Sheria hiyo isiwabague na wake/ waume wote wenye wenza walio kazini na jobless spouses wao nyumbani.
Bunge halikutumwa kwenda kutunga sheria za kibaguzi au Kwa ajili ya manufaa ya VIP pekee…
Bunge la Ccm lazima wajipendelee
 
Mbona kama vile nchi hii ina Ufa mkubwa sana wa kujali raia wake?

Yaani mwanajeshi mstaafu kapigana vita Uganda na kaponea chupuchupu mara kadhaa vitani, daktari aliyestaafu miaka ya 1990 na Mungu amempa maisha mpaka leo au Mwalimu aliyekuwa anatumika kwa moyo wote miaka hiyo bahati mbaya kwa serikali HAJAFA hadi leo anapokea kutoka HAZINA shs laki moja kama pension kila mwezi lakini eti wake wa viongozi nao wawe wanalipwa mamilioni 25% ya mishahara waliyokuwa wanalipwa waume zao?

Basi nchi hii ni tajiri sana! Lakini kwa nini haiwakumbuki basi hata hawa wazee waliolitumikia taifa kwa moyo mmoja enzi hizo.

Kumbukeni nazungumzia wastaafu walio staafu zamani 1998 kwenda nyuma kabla ya mifuko ya jamii haijaanza na wanalipwa na Hazina.
Kwanza sidhani kama wastaafu hawa wanazidi 5000 nchi nzima maana wengi wametangulia mbele ya haki waliobaki ni mateso tuu.

Mara ya mwisho kiwango hiki kupanda na kuwa laki moja ni miaka 10 iliyopita wakati wa JK. Waoneeni huruma acheni uchoyo.

View attachment 2744590View attachment 2744592

Hii nchi ya kipumbavu sana, watawala wanafikiri si kwa kutumia vichwa vyao but sth btn their legs
 
Huo ujumbe uwafikie walimu wanaoisaidia CCM kuiba kura
Kura haziibiwi kituoni na mwl hawezi kuiba kura, acha kuandika usichokijua.

Wakurugenzi na maafisa wa tume wenye kutoa jumla ya matokeo ndio wahuni
 
Sema FAMILIA YA KIKWETE inatamaa sana sio siri… juzi Ridhiwani katapeliwa mil 4 kisa kadanganywa atafanyiwa vetting ya promotion leo mama anataka mshahara ambao hajaufanyia KAZI.
 
Upo sahihi sana mkuu ila hebu tuambie wanabadilishikaje hawa viongozi wetu maana nia ni kuwa na nchi yenye wananchi wenye ustawi
Point yangu ni kwamba tujifunze kupigania haki zetu na kushinikiza kubadili yale tunayoona hayafai, haiwezekani kila jambo iwe suluhisho ni kusubiri et hadi ccm itoke madarani kana kwamba wakitoka hao ccm wanaingia madarakani malaika ambapo kila kitu kitakuwa sawa.
 
Ccm huwa wanajiona kuwa ndiyo wenye nchi hii
Na ni kweli wanaona hivyo maana kila wanalotaka ndio linakuwa hivyo, sie tunasubiri hadi siku ya kutokea ccm kutoka madarakani.
 
Mbona kama vile nchi hii ina Ufa mkubwa sana wa kujali raia wake?

Yaani mwanajeshi mstaafu kapigana vita Uganda na kaponea chupuchupu mara kadhaa vitani, daktari aliyestaafu miaka ya 1990 na Mungu amempa maisha mpaka leo au Mwalimu aliyekuwa anatumika kwa moyo wote miaka hiyo bahati mbaya kwa serikali HAJAFA hadi leo anapokea kutoka HAZINA shs laki moja kama pension kila mwezi lakini eti wake wa viongozi nao wawe wanalipwa mamilioni 25% ya mishahara waliyokuwa wanalipwa waume zao?

Basi nchi hii ni tajiri sana! Lakini kwa nini haiwakumbuki basi hata hawa wazee waliolitumikia taifa kwa moyo mmoja enzi hizo.

Kumbukeni nazungumzia wastaafu walio staafu zamani 1998 kwenda nyuma kabla ya mifuko ya jamii haijaanza na wanalipwa na Hazina.
Kwanza sidhani kama wastaafu hawa wanazidi 5000 nchi nzima maana wengi wametangulia mbele ya haki waliobaki ni mateso tuu.

Mara ya mwisho kiwango hiki kupanda na kuwa laki moja ni miaka 10 iliyopita wakati wa JK. Waoneeni huruma acheni uchoyo.

View attachment 2744590View attachment 2744592
Hili nami limenishangaza sana what selfishness!walimu,polisi,wanajeshi na watumishi wote wanateseka inapokuja kwenye stahiki zao halali kabisa za kustaafu!daaah pole pole jamani,huko mbeleni wanaweza kuja kutunga sheria za kuwalipa watoto na wajukuu wao viinua mgogo
 
Back
Top Bottom