Hii ya wake wa viongozi wastaafu kuanza kulipwa ni zaidi ya too much

Rais akistaafu anapata 80% ,Sasa mke wa mpango,mke wa warioba,mke wa majaliwa,mke wa mkapa,mke wa sumaye,mke wa pinda,mke wa magufuli wote wapate 25% ,hesabu ya KIZIWI ni kuwa 80%+25%=105% Kwa hiyo CCM wameamua Rais aliyeko madarakani apate fedha ndogo lakini ukistaafu mshahara unakuwa mkubwa kuliko ukiwa unafanyakazi ,ni heri Wagner waje Tanzania tuondokane na hawa mashetaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Acheni Roho mbaya mnataka Mama Janet Magufuli aishi vipi? Ngazi ya Urais inatakiwa iheshimiwe
 
NCHI YA HOVYÒ SANA HII WAJINGA NI WENGI NDIO MAANA VIONGOZI WANAWAGEUZA KAMA CHAPATI ZA MAJI NIKIFIKIRIA MAFAO WANAUOPATA RAIS MAKAMU WA RAIS NA WAZIRI MKUU KWA MAISHA YAO YOTE SERIKALI YENYE HURUMA NA WANANCHI WAKE ISINGEKUJA NA MSWAADA WA HOVYO KAMA HUU
 
Wakati huo huo wametengeneza kikokotoo cha kumuumiza mstaafu!
Lakini tutafanyaje?
Acha tuendelee kufa na tai shingoni!
 
Tulishasema kuwa kiendelea kuichagua ccm ni sawa na kujichombia kaburi sisi wenyewe.

Kuichagua ccm ni sawa na kujikaanga wenyewe kwa mafuta yetu.
Ccm ni watawala haramu kwani wanatawala bila ridhaa ya walio wengi!! Hilo linawezekana tu kwa kuwa wanatumia vyombo vya usalama; bila hivyo wasingekuwa na serikali!
 
Ccm ni watawala haramu kwani wanatawala bila ridhaa ya walio wengi!! Hilo linawezekana tu kwa kuwa wanatumia vyombo vya usalama; bila hivyo wasingekuwa na serikali!
Hakika
 
Ebu kanawe miguu ulale
Tanzania muda huu ni asubuhi.

Ok nishaelewa unachofanya ni kulalamika mitandaoni kuhusu serikali ya ccm huku ukitumaini ipo siku mtamwaga ccm kwenye uchaguzi.
 
Kazini nako waweke huo utaratibu pia mfanyakazi akistaafu basi mkewe apate pension maana hakuna utofauti
 
Ccm ni watawala haramu kwani wanatawala bila ridhaa ya walio wengi!! Hilo linawezekana tu kwa kuwa wanatumia vyombo vya usalama; bila hivyo wasingekuwa na serikali!
Kuna watu hadi sasa bado wana mapenzi na ccm na wanawapigia kura, hao ndio wenye kuwapa nguvu ccm kuendelea kuwa madarakani kuliko hata hivyo vyombo vya usalama.
 
Kuna watu hadi sasa bado wana mapenzi na ccm na wanawapigia kura, hao ndio wenye kuwapa nguvu ccm kuendelea kuwa madarakani kuliko hata hivyo vyombo vya usalama.
Hakuna ukweli kuwa watu wanao ipigia kura ccm wana nguvu kuliko vyombo vya dola na tume.

Hapo hakuna ukweli mjomba.
 
Kuna watu hadi sasa bado wana mapenzi na ccm na wanawapigia kura, hao ndio wenye kuwapa nguvu ccm kuendelea kuwa madarakani kuliko hata hivyo vyombo vya usalama.
Wangekuwa na wananchi wengi wanaowapenda wasingekuwa wananunua na kuiba kura wakati wa uchaguzi!
 
Huyu mke wa Kikwete alidhiki tu mbona familia yake wanaifadi hii nchi ya kutosha bado ni mbunge na bado anataka kulipwa mafao ya mumewe ya kustaafu duuh jamani Mungu atusaidie Watanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…