simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Nadhani hujanielewa, ni kwamba rwanda inautaratibu wa kuleta wanafunzi UDSM, lakini mwaka huu wanafunzi 35 kati ya 100 wamedisco na kurudishwa rwanda.
Nipe proportion ya wanafunzi walo disco miaka angalau mitano nyuma, nitakupa jibu la uhakika kama ni hujuma au random tukio.