Nimetizama clip moja ya kamanda wa ngome ya vijana wa ACT wazalendo akidai kuwa upigaji kura wa mwaka huu ndio wa mwisho kwa wazanzibari, akimaanisha kuwa hawatakubali tena kuwapigia kura viongozi wanaoandaliwa Dodoma.
Hizi sio dalili njema kwa muungano wetu. Inabidi vikao vya maridhiano vifanyike haraka sana ili kunusuru hatari inayoukabili Muungano.
Serikali ya CCM ifike mahali ikubali kusoma alama za nyakati, hawa watanzania wa leo si wale wa miaka mitano iliyopita. Ni jamii ya watu ambao wanataka wawe huru katika maamuzi yao ili mradi hayalengi katika kuvunja Sheria. Ni jamii ya watu wanaoelewa haki zao kuliko wale walio kuwepo miaka mitano iliyo pita.
Hizi sio dalili njema kwa muungano wetu. Inabidi vikao vya maridhiano vifanyike haraka sana ili kunusuru hatari inayoukabili Muungano.
Serikali ya CCM ifike mahali ikubali kusoma alama za nyakati, hawa watanzania wa leo si wale wa miaka mitano iliyopita. Ni jamii ya watu ambao wanataka wawe huru katika maamuzi yao ili mradi hayalengi katika kuvunja Sheria. Ni jamii ya watu wanaoelewa haki zao kuliko wale walio kuwepo miaka mitano iliyo pita.