Hii Yanga iliyocheza na Ken Gold ya Chunya ndio inayolilia ubingwa?!

Hii Yanga iliyocheza na Ken Gold ya Chunya ndio inayolilia ubingwa?!

Mtoa mada ni Mbumbumbu/Mikia/Bidaboda kweli Rage hakukosea kuwaita mbumbumbu unasifia mpira ule wa simba nani unamdanganya kuwa simba alicheza mchezo mkubwa/Mzuri hivi unalipwa shilingi ngapi ili kushinda kwenye mitandao kuiponda Yanga
 
FT Yanga 1 - Ken Gold FC kutoka Chunya
Goli la penati

Nimejutia muda wangu,nimetazama mchezo mbovu kabisa wa timu inayoiita timu kubwa dhidi ya timu ndogo kutoka Chunya.

Siku ya jana msemaji wao Nugaz Antonio aliwaambia mashabiki hii timu itakula nyingi. Achana na idadi ya goli nazungumzia kiwango kibovu cha timu ikiwa full mkoko. Kama ndio mara ya kwanza kuiona Yanga unaweza kudhani ni timu ya mkoa.

Jana watazamaji wa Azam walishuhudia kiwango safi Simba Sc ikitumbuiza dhidi ya African Lyon. Licha ya kuweka kikosi cha pili lakini ilikuwa show show.

Ndugu zangu Yanga mjiandae kisaikolojia. Lolote likitokea msishikane uchawi.

Kiufupi ni timu inayohitaji huruma ya marefa
Bado mnaweweseka na kipigo cha Mapinduzi cup, kwenye ligi tunawasubiri, tunataka mnywe za kutosha ili muache midomo.
 
Shida ya Utopolo wanahisi kumfunga Simba Ndio kuchukua ubingwa, kama Utopolo mnafurahi kumfunga Simba, Ruvu shooting yeye afanyeje?
Kwa kuruka ruka kwenu kule ndoto zenu za kuchukua ubingwa msahau. Ila muendelee na kuvimba kwa hisani ya Nugazi,
 


Msikilize Sunday Manara Computer

FT Yanga 1 - Ken Gold FC kutoka Chunya
Goli la penati

Nimejutia muda wangu,nimetazama mchezo mbovu kabisa wa timu inayoiita timu kubwa dhidi ya timu ndogo kutoka Chunya.

Siku ya jana msemaji wao Nugaz Antonio aliwaambia mashabiki hii timu itakula nyingi. Achana na idadi ya goli nazungumzia kiwango kibovu cha timu ikiwa full mkoko. Kama ndio mara ya kwanza kuiona Yanga unaweza kudhani ni timu ya mkoa.

Jana watazamaji wa Azam walishuhudia kiwango safi Simba Sc ikitumbuiza dhidi ya African Lyon. Licha ya kuweka kikosi cha pili lakini ilikuwa show show.

Ndugu zangu Yanga mjiandae kisaikolojia. Lolote likitokea msishikane uchawi.

Kiufupi ni timu inayohitaji huruma ya marefa
wewe ni mwana Simba,unalazimisha yanga iwe Simba,shangilia Tim yako haya mengine hayakuhusu.
 
Nimefurahi timu kongwe inasota kusaka ushindi dhidi ya timu changa..[emoji12][emoji12]
 
Back
Top Bottom