Jjmwaipopo
Senior Member
- Jan 11, 2020
- 189
- 122
Bado mnaweweseka na kipigo cha Mapinduzi cup, kwenye ligi tunawasubiri, tunataka mnywe za kutosha ili muache midomo.FT Yanga 1 - Ken Gold FC kutoka Chunya
Goli la penati
Nimejutia muda wangu,nimetazama mchezo mbovu kabisa wa timu inayoiita timu kubwa dhidi ya timu ndogo kutoka Chunya.
Siku ya jana msemaji wao Nugaz Antonio aliwaambia mashabiki hii timu itakula nyingi. Achana na idadi ya goli nazungumzia kiwango kibovu cha timu ikiwa full mkoko. Kama ndio mara ya kwanza kuiona Yanga unaweza kudhani ni timu ya mkoa.
Jana watazamaji wa Azam walishuhudia kiwango safi Simba Sc ikitumbuiza dhidi ya African Lyon. Licha ya kuweka kikosi cha pili lakini ilikuwa show show.
Ndugu zangu Yanga mjiandae kisaikolojia. Lolote likitokea msishikane uchawi.
Kiufupi ni timu inayohitaji huruma ya marefa
Au acheze Mapinduzi CupYanga anatakiwa acheze mashindano ya college ata mashindano ya Vyuo vikuu hachukui
Al ahly anajua fika alikuwa anacheza na bingwa na anajua utopolo wanaongoza ligi sababu bingwa ana viporo.al ahly anajiuliza kama angecheza na anaye ongoza ligi si angechakazwa vby sana
Tuweke msimamo wa iyo ligi unayo ongozaal ahly anajiuliza kama angecheza na anaye ongoza ligi si angechakazwa vby sana
Lin ulimfunga simba goal za kutoshaBado mnaweweseka na kipigo cha Mapinduzi cup, kwenye ligi tunawasubiri, tunataka mnywe za kutosha ili muache midomo.
Tutampositia kumbukumbu ya miaka 20 iliyopita tuone kama aliwahi kupata ushindi zaidi ya goli 3 wakati.mnyama keshampiga goli 5, 4 mara kibaoLin ulimfunga simba goal za kutosha
ndio nakuuliza ni Yanga hii hii au kuna nyingine?Bado mnaweweseka na kipigo cha Mapinduzi cup, kwenye ligi tunawasubiri, tunataka mnywe za kutosha ili muache midomo.
wewe ni mwana Simba,unalazimisha yanga iwe Simba,shangilia Tim yako haya mengine hayakuhusu.
Msikilize Sunday Manara Computer
FT Yanga 1 - Ken Gold FC kutoka Chunya
Goli la penati
Nimejutia muda wangu,nimetazama mchezo mbovu kabisa wa timu inayoiita timu kubwa dhidi ya timu ndogo kutoka Chunya.
Siku ya jana msemaji wao Nugaz Antonio aliwaambia mashabiki hii timu itakula nyingi. Achana na idadi ya goli nazungumzia kiwango kibovu cha timu ikiwa full mkoko. Kama ndio mara ya kwanza kuiona Yanga unaweza kudhani ni timu ya mkoa.
Jana watazamaji wa Azam walishuhudia kiwango safi Simba Sc ikitumbuiza dhidi ya African Lyon. Licha ya kuweka kikosi cha pili lakini ilikuwa show show.
Ndugu zangu Yanga mjiandae kisaikolojia. Lolote likitokea msishikane uchawi.
Kiufupi ni timu inayohitaji huruma ya marefa
usiwe mkali mkuuwewe ni mwana Simba,unalazimisha yanga iwe Simba,shangilia Tim yako haya mengine hayakuhusu.