Hii 'zoa zoa' na 'nyakua nyakua' ya Wasafi FM kwa watangazaji mahiri wa redio nyingine inamaanisha nini?


Wakati ukimtuhumu Kitenge kwa ' Kukunanga ' kule alikotoka na Wewe unaonyesha siyo mfuatiliaji wa mambo hasa haya ya Kihabari kwani ni jana tu Saa 1 Kamili za Usiku Mtangazaji wa Michezo wa Efm aitwae Maziku wakati akiingia tu kuanza Kipindi alipiga Kijembe ambacho hata uwe ni Mjinga ( Ngumbaru ) au Mpumbavu ( Popoma ) vipi utajua tu kuwa alikuwa anakielekeza kwa Watangazaji wa Michezo wa Wasafi fm ambapo alitutaka Sisi Wasikilizaji wao tusihamishe Idhaa ya Efm na kwenda kuwasikiliza ' Matapeli ' na hii ya ' Matapeli ' aliirudia mara mbili.

Na taratibu naanza Kuona Vita kubwa inakuja na ambayo inaenda Kuzaa Uadui mkubwa kwa Watangazaji wa Michezo wa hizi Redio Mbili za Wasafi fm na Efm. Na kibaya zaidi kuna ambao pia walikuwa na Mahusiano ya Kimapenzi na wengine huku Mtangazaji Mmoja kwa Kike wa Redio fulani hapo ( naihifadhi ) akiwa na Chuki na Mwenzie kwakuwa amemuibia Mpenzi wake na Wawili hao walishaanza Kununiana hadi ikambidi Mmoja wao afanye Maamuzi magumu kama haya tunayoyaona sasa.
 
Tatizo la Tanzania ni ubunifu 0. Huyu kahamia huku kapeleka vipindi vyote vya EFM. EFM walikosea sana kutosajili miliki ya vipindi.

Wasafi iko party owned na owners wa CMG hivyo tusitegemee kuona wafanyakazi wa CMG wakinyakuliwa na Wasafi Media
Tatizo la Tanzania ni ubunifu 0. Huyu kahamia huku kapeleka vipindi vyote vya EFM. EFM walikosea sana kutosajili miliki ya vipindi.

Wasafi iko party owned na owners wa CMG hivyo tusitegemee kuona wafanyakazi wa CMG wakinyakuliwa na Wasafi Media
ni kweli Mkuu,mfano segment za kipindi kakopi neno la kwanza namba moja na neno la kwanza namba mbili,pia jogging
 

Umetafsiri tofauti sana na kile nilichoandika..
 

Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer..

Nimeandika hapo juu kama mwenyewe unavyojiita, Majibu yako yamedhihirisha kabisa wewe ni "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer.." Wengi hawawezi elewa hili, hata hii inaitwa Bongo Movie na Bongo fleva ina dark side nyingi sana kuanzia Kudanga, Ukuwadi, Ushoga na hili lingine naomba namimi niishie hapa..
 
Radio one waliwatenda vivyo hivyo RTD, EFM wakawatenda Radio one, EFM wakawatenda Mawinguni, BBC wakawatenda Radio one (japo wanasema walikua na mkataba retesi) mawingu na RTD.

Ukiwa kwenye duara linalozunguka jua ipo siku aliposimama mwenzio nawe utasimama papi hapo.
 
Hapo wamerisk naaamini wanalipwa pesa nyingi na maboss wanategemea return toka kwao....inamaana wasipoingiza ndo yale yale utasikia amerudi nyumbani...!sitegemei kipya kutoka kwa hawa jamaa coz michezo na ile ile hata ukiangalia ufanisi wao sijaona ubunifu wa kipindi zaidi wametohoa kutoka walipotoka.
Point yangu lazima uwajengee uzalendo wafanyakazi wako...siwasifii clouds but wameibrand cmg kiasi kwamba ni ndoto ya watangazaji wengi kufika pale...
 

wanapora:
EFM
TIMES
CLOUDS
AZAM
EA RADIO

ndio sehemu zilizolengwa hizo kwa sasa, Pia mimi nachukuliwa kwenye kipindi cha Jioni before Sport court ndio tuko kwenye maongezi
 
Uwoga wa kimaskini huo uchukuee laki sita wakati kuna 1.5 kwa kazi ile ilee wachaaa kbs au unazanii walee wote hawanaaa akiliii mkuu
 
Wazoefu na Wataalamu wa haya mambo tusaidiane kidogo katika maswali haya..

Hizi redio na TV stations zinapataje faida kiasi cha kuweza kuendesha biashara na kuendeleza uwekezaji?.
Hata mimi nijue hilo
 
Chakufurahisha ni kwamba boss wa mawingu na yy yupo kwenye hicho kinachoendelea Hakuna jipya mbwembwe tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…