Hiki chakula kwa lugha ya kwenu wanaitaje?

Hiki chakula kwa lugha ya kwenu wanaitaje?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
810107cd-1aee-40d6-8863-f7febf2ddce8.jpg
 
Acha kabisa Kaka. Na hii ramadhani ndo futari kubwa.

Kikubwa visamaki tu. 😂😂😂
Haswaaa. Kesho nlikuwa nivune ndugu yangu halafu usafiri na meli uje Zenji. Tatizo mvua kubwa naskia huko Tanga.

Unaifungia wapi??
 
tatizo la haya madude huwa ni ladha yake mseto[emoji1][emoji1][emoji1]

unawezakula kipande A ukakuta poa sana.
kipande B kikawa kile kisichoiva,C ukakuta mzizi,D ukakuta kichungu,mpaoa hapo na mzuka unakata[emoji23]
 
Back
Top Bottom