MtotoKautaka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 373
- 895
- Thread starter
- #21
Ushauri wa hovyo huuKabla ya kuanza safari piga kisungura, huwa kinaondoa hofu na wenge barabarani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushauri wa hovyo huuKabla ya kuanza safari piga kisungura, huwa kinaondoa hofu na wenge barabarani
Hili ni jukwaa la mahusiano na mapenzi siyo la SUMA wala ushauri wa ulinziUnashida gani kwani
Aaah bas nimekoseaHili ni jukwaa la mahusiano na mapenzi siyo la SUMA wala ushauri wa ulinzi
Oooooh asee nitailinda kwa nguvu ziteNa usijichanganye tena 150 hiyo ni keki
Mi tvs naitunza chumbani kabisa hakuna kitu napenda kama hii kitu
Sawa ntazoeaMkuu punguza wenge
Usijali mkuu hilo wenge huwa linampata kila mtu kwa mara ya kwanza ila ukizoea utaona kawaida tuSawa ntazoea
Asee so poa hakulaliki kwa amaniUsijali mkuu hilo wenge huwa linampata kila mtu kwa mara ya kwanza ila ukizoea utaona kawaida tu
😂😂😂😂mlinzi alinambia ipo bhn haijachukuliwa....utaikuta asbh ndugu yanguKawaida hyo. Gari yangu ya kwanza nilikuwa naamka usiku kuchungulia kama ipo na nyumba ina geti.
😂😂😂😂😂😂😂mlinzi alinambia ipo bhn haijachukuliwa....utaikuta asbh ndugu yangu
Huko hawawezi iba, kuwa makini tuNipo manyara
OkayHuko hawawezi iba, kuwa makini tu
Asante Kwa ushauriUza tu usije wehuka bure