Hiki kiarabu kina maana gani?

Hiki kiarabu kina maana gani?

Nielekeze ndugu yangu!

Hapo nimesoma nimeona kaandika suratul Nasri (Idhajaa anasirullahi wal fat hu) akaandika mpaka akaishia kwenye fii dinillahi..

Baada ya hapo akaandika jina la Mungu. Yaani ya Allah! Kaliandika mara 11. Yaani Ya Allah! Ya Allah mpaka idadi ikafikia mara 11.

Baada ya hapo akamalizia sehemu ya aya "Afuwaja".

Baada ya hapo akachora jedwali! Upande mwengine kaandika herufi ya waw ya kiarabu. Kisha akachora symbol kama ya ua.

Huko kwengine kwa upande mwengine wa jedwali kaandika " Allahumma" mara 4.

Kisha kwa chini akaandika maneno yafuatayo "Mola wangu wewe ndiye mpaji na mimi ni mwombaji......" maneno ya kuomba.

Chini yake hapo akamswalia Mtume kisha akaweka na vialama vya nyota na alama alama nyengine.

Umeweka tahadhari kuwa ni ushirikina. Nisaidie kwa hapo ushirikina kinamna gani? Kwa maana na mimi nikiona kama hayo mahali pengine niweze kuwaelimisha watu.
Sio kwamba hujaelewa ila umeamua kujitoa akili, maelezo yangu yako wazi kabisa.

Nimeelezea kwanini hiyo ni shiriki, ama hujaona niliposema hiyo ni shiriki?

SOMA TENA.
 
Nilikuwa Nina shida Fulani, itabidi nikamuone shekhe ndio anaweza kunisaidia, ila baada ya kunisomea Dua , akanipa hili karatasi kama niweke kwenye wallet

Naomba tasfiri yake wakuu, isije ikawa nimepewa jini kijanja, maana napata hela, sijui zinapo ishia
Hapo kuna kifurushi cha jini maimuna 3 na jini makata 6
 
Sio kwamba hujaelewa ila umeamua kujitoa akili, maelezo yangu yako wazi kabisa.

Nimeelezea kwanini hiyo ni shiriki, ama hujaona niliposema hiyo ni shiriki?

SOMA TENA.
Sheikh, kwenye dini kwenyewe Allah hataki uamini tu kuna Mungu! Bali anataka mja wake uwe na dalili ya kuamini uwepo wake kisha ndipo uamini.

Na ndiyo maana tukapewa nasiha kwamba "Al elmu qablal qaul wal amal".

Kwenye dini tunaambiwa Al Qur'anu wa sunna aswilu. Wafarqihi Al Ijmai wal Qiyas. Hizi zinaitwa dalili za sheria.

Hivyo ikitamkwa hili suala ni halali inabidi itolewe na dalili yake. Halikadhalika ikisemwa hii ni haramu inabidi isemwe dalili yake na nikupe mfano!

Pombe ni haramu! Lakini Qur'an imezungumzia Al khamru. Hii ni aina ya pombe itokanayo na mzabibu, ni mvinyo.

Wapi pombe ya mtama kwamba ni haramu? Au wapi pombe ya shairi?

Uharamu wake unakuja wapi pombe zote hapo zinaiangia. Inabidi uje kwenye hillatul hukumu.

Hila yake ni nini? Assukuru yaani kilevi. Kwa hiyo kila kilevi hata kama ni majani kwa kuwa yanalevya ni haramu.

Suji tumefahamiana?

Maadamu umesema hiyo ni shirki, tusaidiane dalili ila nami nielewe! Kama ni shirki, ushirikina wake ni upi? Wewe umesema tu ni shirki hukutoa sababu kwa nini ni shirki!

Kwa sababu kwenye dini hakuna hukumu kali kama kumwambia mwenzako anafanya shirki. Unamtoa mwenzako kwenye uislamu.

Hili ni jambo zito sana ndugu yangu!

Ndiyo maana natafuta ushahidi! Ili na mimi nikilikemea niwe na ushahidi wa kuuelezea.
 
Mambo sio rahis hivo km mnavosumulia
Sasa kama tumepitia yote hayo hiyo sio nadharia, hayo mambo yapo na process ni hizo sio lazima uamini, so km huamini achilia mbali maana hatulipani hapa tunapiga story tu.
 
Hapo amekopi sura ya quran,(sura ya 110) ameongeza na dua na herufi za kiarabu mwisho kamalizia kumswalia mtume.
Hakuna cha ajabu chochote.
 

Attachments

  • Screenshot_20241228_133035_Divine Pearls.jpg
    Screenshot_20241228_133035_Divine Pearls.jpg
    410.5 KB · Views: 2
Hapo amekopi sura ya quran,(sura ya 110) ameongeza na dua na herufi za kiarabu mwisho kamalizia kumswalia mtume.
Hakuna cha ajabu chochote.
Ulichokielezea ndicho mimi nilichokiona ijapokuwa wengine wamesema ni shiriki.

Naajaribu kuuliza naonakena nakaza nati kichwani.

Kama ni ushirikina, watusaidie ili nasi tuwaelimishe watu.

Na mojawapo ya faida ya kusoma hiyo sura ni ku solve financial issues.
 
Nisaidie tafadhali kama yapi?

Nafahamu kiasi kiarabu.

Nimesoma hapo nimeona ni maombi ambayo alianza kuandika aya ya surat naswri.

Kwenye fii dinillah..kabla ya kumalizia llahi akaandika Ya Allah! Yaa Allah mara 11. Kisha akamalizia llahi.

Kwenye jedwali kaandika herufi waw! Kisha upande wa kushoto kaandika Allahumma mara 4.

Kisha chini kaandika maombi ya kuomba kwa mpaji ya kwamba hakuna mpaji kama wewe hali ya kuwa wewe mpaji na mimi ni mwombaji.

Akaandika kumswalia Mtume hapo chini kisha akamalizia na alama ya nyota na nyenginezo.

Lengo langu nisaidie ili nielewe zaidi. Ushirikina hapo upo wapi? Ni hayo maneno? Ni hilo jedwali? Ni hivyo vialama? Ni hiyo Aya? Au ni nini? Au ni vyote kwa pamoja?
Mwandishi naye magumashi tu, angekuwa ameiva Mungu angemtaja kwa jina la Rabana.
 
Sio kwamba hujaelewa ila umeamua kujitoa akili, maelezo yangu yako wazi kabisa.

Nimeelezea kwanini hiyo ni shiriki, ama hujaona niliposema hiyo ni shiriki?

SOMA TENA.
Nani kakuambia ufungue ndani ya hirizi?
 
Huyo ni mganga mshirikina sio Shekhe. Waganga Wana tabia za kuitumia Qur'an wakachanganya na madudu yao mengine wakaandika talasisi. Na ndicho ambacho kimefanyika hapo.
 
akanipa hili karatasi kama niweke kwenye wallet
- Kwa mujibu wa AI kilicho andikwa ni hiki:
1735383935275.png

Okay, here's the English translation of the OCR text from the image, keeping the formatting and symbols as close as possible:

---

English Translation:

Allah, O Allah, in multitudes.

When the victory of Allah has come and the conquest, and you see the people entering into
the religion of Allah, O Allah, O Allah, O Allah, O Allah, O Allah, O Allah, O Allah, O Allah, O Allah, O Allah.

m

ooo
-o
h-
9666
ooo

O Allah
O Allah
O Allah
O Allah
O Allah, You are the giver, and I am the seeker, so who will the seeker call upon except the giver? O Lord, O Lord, O Lord.
May Allah bless our master Muhammad and grant him peace. m # The Herd 6

---

Notes on Translation:

  • "Allah": This is the Arabic word for God, and it's used frequently in the text.
  • "Ya Allah": This phrase translates to "O Allah," and it's a common invocation in Islamic prayers.
  • "When the victory of Allah has come and the conquest": This is a reference to the Quran, specifically Surah An-Nasr (Chapter 110).
  • "May Allah bless our master Muhammad and grant him peace" This is a very common prayer and part of many prayers in Islam.
  • "O Lord, O Lord, O Lord": This is another invocation, expressing supplication to God.
  • "The Herd 6": This could be a reference to a specific chapter or section within a larger work, possibly religious or spiritual in nature.

The symbols and text arrangements (like the repeated "O Allah" vertically, the circles connected with lines, and the other single characters) appear to be part of a diagram or script with a specific intent, possibly related to spiritual practices or supplication in Islamic tradition, and could have additional meaning depending on the context.
Zaidi Bofya spoiler
1735384300833.png

1735384328364.png

1735384346033.png
 
Hiyo dini ya muarabu inawatesa sana.
 
Nielekeze ndugu yangu!

Hapo nimesoma nimeona kaandika suratul Nasri (Idhajaa anasirullahi wal fat hu) akaandika mpaka akaishia kwenye fii dinillahi..

Baada ya hapo akaandika jina la Mungu. Yaani ya Allah! Kaliandika mara 11. Yaani Ya Allah! Ya Allah mpaka idadi ikafikia mara 11.

Baada ya hapo akamalizia sehemu ya aya "Afuwaja".

Baada ya hapo akachora jedwali! Upande mwengine kaandika herufi ya waw ya kiarabu. Kisha akachora symbol kama ya ua.

Huko kwengine kwa upande mwengine wa jedwali kaandika " Allahumma" mara 4.

Kisha kwa chini akaandika maneno yafuatayo "Mola wangu wewe ndiye mpaji na mimi ni mwombaji......" maneno ya kuomba.

Chini yake hapo akamswalia Mtume kisha akaweka na vialama vya nyota na alama alama nyengine.

Umeweka tahadhari kuwa ni ushirikina. Nisaidie kwa hapo ushirikina kinamna gani? Kwa maana na mimi nikiona kama hayo mahali pengine niweze kuwaelimisha watu.
 
Back
Top Bottom