Hiki kiarabu kina maana gani?

Hiki kiarabu kina maana gani?

Screenshot_20241228-142447.png
 
Mganga analoga kwa kutumia mistari.
Sheikh anakuombea kutumia mistari hiyo hiyo iko kwenye kitabu kimoja.
Labda nikuelezee kwa ufupi jinsi uchawi/uganga unavyofanya kazi kisha ndo utaelewa kwanini huwa wanatumia quran kufanyia mambo yao.

1. Kwanza jua uchawi haufanyi kazi ispokuwa kwa amri ya Allah( the almighty ) maana yeye ndiyo source ya elimu zoote tunazozijua na tusizozijua enzi za nabii sulaiman ( alayhi salaam ) walitumwa malaika wawili harut na marut kuja wakiwa na elimu ya uchawi kama mtihani kwa umma wa nabii sulaiman na hawakumkaribia mtu yeyote ispokuwa walimwambia wao ni mtihani na watu wasijifunze yale waliyonayo ila shaitan wakawadanganya na kuwafunza watu uchawi/uganga/ushirikina ushahidi ni kwenye surat baqara aya ya 102.

Al-Baqarah 2:102

وَٱتَّبَعُوا۟ مَا تَتْلُوا۟ ٱلشَّيَٰطِينُ عَلَىٰ مُلْكِ سُلَيْمَٰنَۖ وَمَا كَفَرَ سُلَيْمَٰنُ وَلَٰكِنَّ ٱلشَّيَٰطِينَ كَفَرُوا۟ يُعَلِّمُونَ ٱلنَّاسَ ٱلسِّحْرَ وَمَآ أُنزِلَ عَلَى ٱلْمَلَكَيْنِ بِبَابِلَ هَٰرُوتَ وَمَٰرُوتَۚ وَمَا يُعَلِّمَانِ مِنْ أَحَدٍ حَتَّىٰ يَقُولَآ إِنَّمَا نَحْنُ فِتْنَةٌ فَلَا تَكْفُرْۖ فَيَتَعَلَّمُونَ مِنْهُمَا مَا يُفَرِّقُونَ بِهِۦ بَيْنَ ٱلْمَرْءِ وَزَوْجِهِۦۚ وَمَا هُم بِضَآرِّينَ بِهِۦ مِنْ أَحَدٍ إِلَّا بِإِذْنِ ٱللَّهِۚ وَيَتَعَلَّمُونَ مَا يَضُرُّهُمْ وَلَا يَنفَعُهُمْۚ وَلَقَدْ عَلِمُوا۟ لَمَنِ ٱشْتَرَىٰهُ مَا لَهُۥ فِى ٱلْءَاخِرَةِ مِنْ خَلَٰقٍۚ وَلَبِئْسَ مَا شَرَوْا۟ بِهِۦٓ أَنفُسَهُمْۚ لَوْ كَانُوا۟ يَعْلَمُونَ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Na wakafuata yale waliyo zua mashet'ani kuuzulia ufalme wa Su leiman. Na wala Suleiman hakukufuru, bali mashet'ani ndio walio kufuru, wakiwafundisha watu uchawi, na yaliyo teremshwa kwa Malaika wawili, Haaruta na Maaruta katika Baabil. Wala hao hawakumfundisha yeyote mpaka wamwambie: Hakika sisi ni mtihani; basi usikufuru. Wakajifunza kwa hao wawili yale ya kumfarikisha mtu na mkewe. Wala hawawezi kumdhuru mtu ila kwa kutaka Mwenyezi Mungu. Na wanajifunza yatayo wadhuru wala hayawanufaishi. Na hakika wanajua kwamba aliye khiari haya hatakuwa na fungu lolote katika Akhera. Na hakika ni kiovu mno walicho jiuzia nafsi zao laiti wangelijua.

English - Tafsir Ibn Kathir (Abridged)

UCHAWI UNAFANYAJE KAZI?

2. Mchawi na mganga huwa wanaingia mkataba na shaitan hapa shaitan atataka mtu huyu amuabudu yeye badala ya Allah( the almighty) na kisha huyu shaitan atamfanyia mtu huyu yale mambo atakayoyataka ambayo yapo ndani ya uwezo wake si nje ya uwezo wake na pia atamfunza mtu huyo elimu za kishirikina ambazo hazitomsaidi kwa lolote lile zaidi ya kumuondoa kwenye uislamu , kumdhalilisha (kula vilivyooza, kutembea uchi na kujiabisha ) mwisho wa siku akifa katika hali hii basi ataenda motoni milele.

3. Na ili uchawi utimie inabidi KUFURU kubwa sana itendeke ukubwa wa kufuru ndiyo jinsi uchawi unavyoweza kufanya kazi kwa haraka , sasa ni kufuru gani kubwa na itakayomkasirisha Allah (the almighty) zaidi ya kuchukua maneno yake (quran) na kuyachafua na kuyanajisi? Ndiyo maana unakuta wanaandika aya za quran kupitia vitu vichafu kama damu za hedhi, wanasomea quran chooni , wanazikanyaga , wanazifutia uchafu wote, wananyonga wanyama badala ya kuchinja, wanafukia vitoto vidogo vikiwa hai n.k yoote ni kwamba kufuru inapokuwa kubwa basi ombi lao hujibiwa wakati wakijua kabisa wataishia jehannam.

4. Sasa kwanini quran?? Ndiyo kitabu pekee cha kweli chenye kubainisha haki na batil chenye ujumbe ulionyooka kwa binadamu na majini kuinajisi quran ni kuvuka mipaka na kujitia alama ya moja kwa moja ( kama hatoachana na uchawi huo na kurudi kwenye uislamu) ndiyo maana washirikina lazima wainajisi quran na si kwamba wanaitumia kwa sababu ni elimu iliyo ndani yake HAPANA HAKU A ELIMU YA ULOZI HUKO HAKUNA ELIMU YOYOTE YA HOVYO HUMO NDANI .
 
Kaangalie kwenye Bukhari, Sunan Abu Dawud na Tirmidhi.

Kwa msaada wa hili kaka, naomba utuwekee matini ya hiyo Hadithi tusome.

Sababu Maswahaba walikuwa wanakataza hata Qur'an kutundikwa mlangoni kama ulinzi.
 
Ni ushirikina huo ni Talasimu hizo

Si kila Neno Mungu linamanisha yule Muumbaji

Hata kina mwamposa wanamtaja Yesu lakini sio Yule mnazarethi

Hapo ushanuiwa ,bila Jina la Yesu hayatoki hayo manuizo
 
Shetani Huwa hana shida na maneno yenu ,yeye alishaweka chake hata kidogo tu tayari ushakuwa wakwakwe,anachotafuta ni uhalali ,Nia basi

Hapo ushajifungamanisha na Ulozi ,

Nakusihi Soma Zaburi 23 yote na Zaburi 91 , kuondoa hayo maagano
 
Juu ya karatasi kaandika surat nasr (idhajaa), kushoto ni kamtaja Allah (the almighty mara tatu) , chini ni dua na katika kibox ni herufi tu za kiarabu , ila kuna shida mahali 👇👇👇

"Nilikuwa Nina shida Fulani, itabidi nikamuone shekhe ndio anaweza kunisaidia........."

1. Tengua hiyo kauli hapo juu hakuna shaikh anaweza kukusaidia ukiwa na shida si shaikh tu hakuna nabii wala mtume (hapa naongelea wakina Nuhu(alayhi salaam), ibrahim(alyhi salaam) , isa(alayhi salaam) na hata mtume muhammad (swalallahu alayhi wasalam) anayeweza kukusaidia ukiwa na shida anayeweza hayo ni ALLAH (the almighty) PEKEEE HAKUNA MWENGINE FULL STOP

2. Watu tunapokosea ni kwamba hatufanyi ibada , wala kujituma kukamilisha ibada za faradhi na nyenginezo kwa wakati na kujikurubisha kwa Muumba wetu halafu tunataraji tukipata shida na matatizo ndo tunamkumbuka 😂 utaenda kwa mashaikh , utaenda kwa waganga utamaliza kila kitu kumbe tatizo ni WEWE.

3. SISAPOTI KWENDA KWA SHAIKH ILI KUTATULIWA SHIDA ZAKO , MAOMBI YAKO KWENYE SIJDA YANA NGUVU KULIKO KITU CHOCHOTE HIVYO KAMA UNA SHIDA JUA WEWE NDO UNA NAFASI KUBWA YA KUSIKILIZWA NA MUUMBA KULIKO MWENGINE IBADA IBADA IBADA FULLSTOP.

4. KWA MSAADA WA HARAKA CHUKIA KIBERITI CHOMA HIYO TAWIZ , yaani unaandikiwa dua kwenye karatasi kwa kutumia zafarani halafu anakwambia ubebe nenda kachome hiyo kitu hakuna mtu anaweza kukusaidi kwa kukuandikia dua chache kwenye karatsi shida ipo kwako , kwa msaada kachukue wudhu swali na kila sijda lalamika kweli kweli mpaka ujibiwe inshaallah.


N.B
kuna watu ni waganga ila wanatumia kivuli cha dini kujitia u shaikh chungeni mtabebeshwa majini
Safi umechambua vyema mkuu, kama huyu jamaa hakushuhudia hao ndege wanachinjwa ikaandikwa zafara then kapigwa maana hata marker peni nyekundu inaandika tu.
Hayo mambo mi nilishiriki mguu kwa mguu.
Kulikua hamna mambo ya weka hela ntaleta.
Hawa masheikh,waganga tulikua marafiki kiasi hata hela walikua hawachukui.
Kila anachofanya nakiona pale.
Ila ni miaka 25 ishapita sijui hata km wako hai.
 
a ya hapo akachora jedwali! mwengine kaandika herufi ya waw yarabu. Kisha akachora symbol kama ya ua.

Huko kwengine kwa upande mwengine wa jedwali kaandika " Allahumma" mara 4.

Kisha kwa chini akaandika maneno yafuatayo "Mola wangu wewe ndiye
Sheikh, kwenye dini kwenyewe Allah hataki uamini tu kuna Mungu! Bali anataka mja wake uwe na dalili ya kuamini uwepo wake kisha ndipo uamini.

Na ndiyo maana tukapewa nasiha kwamba "Al elmu qablal qaul wal amal".

Kwenye dini tunaambiwa Al Qur'anu wa sunna aswilu. Wafarqihi Al Ijmai wal Qiyas. Hizi zinaitwa dalili za sheria.

Hivyo ikitamkwa hili suala ni halali inabidi itolewe na dalili yake. Halikadhalika ikisemwa hii ni haramu inabidi isemwe dalili yake na nikupe mfano!

Pombe ni haramu! Lakini Qur'an imezungumzia Al khamru. Hii ni aina ya pombe itokanayo na mzabibu, ni mvinyo.

Wapi pombe ya mtama kwamba ni haramu? Au wapi pombe ya shairi?

Uharamu wake unakuja wapi pombe zote hapo zinaiangia. Inabidi uje kwenye hillatul hukumu.

Hila yake ni nini? Assukuru yaani kilevi. Kwa hiyo kila kilevi hata kama ni majani kwa kuwa yanalevya ni haramu.

Suji tumefahamiana?

Maadamu umesema hiyo ni shirki, tusaidiane dalili ila nami nielewe! Kama ni shirki, ushirikina wake ni upi? Wewe umesema tu ni shirki hukutoa sababu kwa nini ni shirki!

Kwa sababu kwenye dini hakuna hukumu kali kama kumwambia mwenzako anafanya shirki. Unamtoa mwenzako kwenye uislamu.

Hili ni jambo zito sana ndugu yangu!

Ndiyo maana natafuta ushahidi! Ili na mimi nikilikemea niwe na ushahidi wa kuuelezea.
Umewafafanulia vizuri, labda wao tu wakaze vichwa kuelewa.
 
Tengua hiyo kauli hapo juu hakuna shaikh anaweza kukusaidia ukiwa na shida si shaikh tu hakuna nabii wala mtume (hapa naongelea wakina Nuhu(alayhi salaam), ibrahim(alyhi salaam) , isa(alayhi salaam) na hata mtume muhammad (swalallahu alayhi wasalam) anayeweza kukusaidia ukiwa na shida anayeweza hayo ni ALLAH (the almighty) PEKEEE HAKUNA MWENGINE FULL STOP
Mfanyaji ni Mungu siku zote. Yeye ndiye Mola wa ulimwengu wote.

Lakini kuna viumbe ni vipenzi wa Mungu. Kupitia uombezi wao wewe unapata msaada.

Kwenye kitabu cha "Sirri minal Asrar" cha Sheikh Abdulqadir Al Jaylani Qaddasallahu sirrahul Aziz amasema: Kwenye sheria ya Mungu watu wote ni sawa, lakini kwenye maqamu ya kiruh sheria hapa zina apply tofauti kulingana na maqamu ya kiroho ya mtu mwenyewe.

Kuna watu Mungu anawasikia zaidi kutokana na utumishi wao waliyojitolea kumtumikia Mungu kuliko wewe na mimi.

Katika hili Mungu akasema ana watu wake. Wananchokitaka ndicho Mungu naye anachokitaka.

Watu wa namna hii voltage zao kufika kwa Mungu ni kubwa! Wanao uwezo wa kukuombea na Mungu akasikia kwa haraka ukawa msaada kwako!

Kwa hali ya namna hiyo wewe utasemaje hawakusaidii? Mungu ana vipenzi vyake, ukiwa na shida watembelee wakakuombee dua utafanikiwa.

Mtume mwenyewe anasema "Lii khamsatu asmaaa!" Mimi nina majina 5.

"Anaa Muhammad" mimi ni Muhammad. "Wa anaa Ahmad". Yeye ni Ahmad.

"Waanal haashiru". Mimi ni Hashiru, "Alladhii yuh sharu nnasu Alaa qadari" ambayo watu watakusanywa chini ya nyayo yangu.

"Wa anal Maahi" Mimi naitwa Mahii! "Alladhii ya muhallahu bii Alkufra!" Ili Mungu amfutie mtu akafiri wake apitie kwangu mimi.

"Waash hadu annamuhamman rasulullah!" Ndiyo atakuwa muislamu.

Laa sivyo, akisema Ash hadu anlaa ilaha illallah! Akaishia hapo, bado atabaki kuwa kafiri. Mungu hatomfutia ukafiri wake.

Mpaka "bii" apitie kwangu mimi. Kwa nini? Kwa sababu "anal maahi, Alladhii ya muhallahu bii Alkufra!" Kwa kupitia kwangu mimi Mtume ndiye amfutie Mungu akafiri wake.

Lazima mtume awe msaada kwako! Lazima upitie kwake. Sasa kwenye shahada unamtaja Mtume Muhammad yeye ni nani? Ni Mungu? Kwa nini umtaje? Ni msaada kwako wewe!

Ungesema tu Ash hadu anlaa ilaha illallah! Basi ingelitosha! Sasa unamtaja Muhammad yeye ni nani?

Unamtaja Muhammad mtume wa Mwenyezi Mungu, aliyembora, Mungu aliyemchagua ili akufutie wewe ukafiri wako, umtaje yeye Muhammad na upitie kwake Muhammad.

Sasa hapo Muhammad kakusaidia hajakusaidia? Jawabu kakusaidia.

Ni kweli ni Mungu pekee anayekusaidia ila ana vipenzi vyake, kupitia wao wakikuombea unasaidika msaada wa Mungu. Kwa kusema Mitume hawakusaidii huo ni uongo! Kwa sababu hawa wamepatiwa milango ya fursa ya kipekee kwa Mungu.

Watu tunapokosea ni kwamba hatufanyi ibada , wala kujituma kukamilisha ibada za faradhi na nyenginezo kwa wakati na kujikurubisha kwa Muumba wetu halafu tunataraji tukipata shida na matatizo ndo tunamkumbuka 😂 utaenda kwa mashaikh , utaenda kwa waganga utamaliza kila kitu kumbe tatizo ni WEWE.
Sheikh mbona maswahaba walivyokuwa na matatizo bado walimkimbilia Mtume? Mbona Mtume hakuwaambia nimeshawafundisha jinsi ya kumuomba Mola wenu nendeni mkafanye ibada awatatulie matatizo yenu? Mtume aliwasaidia masahaba zake. Hapa napo vipi? Hawajitumi kwenye ibada? Wana makando yao?

Sahaba wa Mtume Alaa bin Hadhrami alitangulia kwenye bahari ya Bahrain akasoma dua akawavusha maswahaba wenzake wakapita juu ya bahari kana kwamba wanatembea juu ya ardhi pasipo kuzama, na Abou Hurayrah akiwemo.

Hili nalo unasemaje? Sheikh kweli tunasoma dini au tunatumia fikra zetu kwa kile tulichokuwa nacho katika elimu dini?
 
a ya hapo akachora jedwali! mwengine kaandika herufi ya waw yarabu. Kisha akachora symbol kama ya ua.

Huko kwengine kwa upande mwengine wa jedwali kaandika " Allahumma" mara 4.

Kisha kwa chini akaandika maneno yafuatayo "Mola wangu wewe ndiye
Umewafafanulia vizuri, labda wao tu wakaze vichwa kuelewa.
Watu hawasomi dini!

Bali wanatumia fikra zao kwa yale maarifa waliyokuwa nayo katika sehemu ndogo ya elimu ya dini.

Sasa hii ni hatari! Watakufurisha watu! Na watahukumu watu kwa kuagawia watu pepo na moto.

Hii ni hatari! Na si jambo zuri!
 
Labda nikuelezee kwa ufupi jinsi uchawi/uganga unavyofanya kazi kisha ndo utaelewa kwanini huwa wanatumia quran kufanyia mambo yao.

1. Kwanza jua uchawi haufanyi kazi ispokuwa kwa amri ya Allah( the almighty ) maana yeye ndiyo source ya elimu zoote tunazozijua na tusizozijua enzi za nabii sulaiman ( alayhi salaam ) walitumwa malaika wawili harut na marut kuja wakiwa na elimu ya uchawi kama mtihani kwa umma wa nabii sulaiman na hawakumkaribia mtu yeyote ispokuwa walimwambia wao ni mtihani na watu wasijifunze yale waliyonayo ila shaitan wakawadanganya na kuwafunza watu uchawi/uganga/ushirikina ushahidi ni kwenye surat baqara aya ya 102.

Al-Baqarah 2:102

وَٱتَّبَعُوا۟ مَا تَتْلُوا۟ ٱلشَّيَٰطِينُ عَلَىٰ مُلْكِ سُلَيْمَٰنَۖ وَمَا كَفَرَ سُلَيْمَٰنُ وَلَٰكِنَّ ٱلشَّيَٰطِينَ كَفَرُوا۟ يُعَلِّمُونَ ٱلنَّاسَ ٱلسِّحْرَ وَمَآ أُنزِلَ عَلَى ٱلْمَلَكَيْنِ بِبَابِلَ هَٰرُوتَ وَمَٰرُوتَۚ وَمَا يُعَلِّمَانِ مِنْ أَحَدٍ حَتَّىٰ يَقُولَآ إِنَّمَا نَحْنُ فِتْنَةٌ فَلَا تَكْفُرْۖ فَيَتَعَلَّمُونَ مِنْهُمَا مَا يُفَرِّقُونَ بِهِۦ بَيْنَ ٱلْمَرْءِ وَزَوْجِهِۦۚ وَمَا هُم بِضَآرِّينَ بِهِۦ مِنْ أَحَدٍ إِلَّا بِإِذْنِ ٱللَّهِۚ وَيَتَعَلَّمُونَ مَا يَضُرُّهُمْ وَلَا يَنفَعُهُمْۚ وَلَقَدْ عَلِمُوا۟ لَمَنِ ٱشْتَرَىٰهُ مَا لَهُۥ فِى ٱلْءَاخِرَةِ مِنْ خَلَٰقٍۚ وَلَبِئْسَ مَا شَرَوْا۟ بِهِۦٓ أَنفُسَهُمْۚ لَوْ كَانُوا۟ يَعْلَمُونَ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Na wakafuata yale waliyo zua mashet'ani kuuzulia ufalme wa Su leiman. Na wala Suleiman hakukufuru, bali mashet'ani ndio walio kufuru, wakiwafundisha watu uchawi, na yaliyo teremshwa kwa Malaika wawili, Haaruta na Maaruta katika Baabil. Wala hao hawakumfundisha yeyote mpaka wamwambie: Hakika sisi ni mtihani; basi usikufuru. Wakajifunza kwa hao wawili yale ya kumfarikisha mtu na mkewe. Wala hawawezi kumdhuru mtu ila kwa kutaka Mwenyezi Mungu. Na wanajifunza yatayo wadhuru wala hayawanufaishi. Na hakika wanajua kwamba aliye khiari haya hatakuwa na fungu lolote katika Akhera. Na hakika ni kiovu mno walicho jiuzia nafsi zao laiti wangelijua.

English - Tafsir Ibn Kathir (Abridged)

UCHAWI UNAFANYAJE KAZI?

2. Mchawi na mganga huwa wanaingia mkataba na shaitan hapa shaitan atataka mtu huyu amuabudu yeye badala ya Allah( the almighty) na kisha huyu shaitan atamfanyia mtu huyu yale mambo atakayoyataka ambayo yapo ndani ya uwezo wake si nje ya uwezo wake na pia atamfunza mtu huyo elimu za kishirikina ambazo hazitomsaidi kwa lolote lile zaidi ya kumuondoa kwenye uislamu , kumdhalilisha (kula vilivyooza, kutembea uchi na kujiabisha ) mwisho wa siku akifa katika hali hii basi ataenda motoni milele.

3. Na ili uchawi utimie inabidi KUFURU kubwa sana itendeke ukubwa wa kufuru ndiyo jinsi uchawi unavyoweza kufanya kazi kwa haraka , sasa ni kufuru gani kubwa na itakayomkasirisha Allah (the almighty) zaidi ya kuchukua maneno yake (quran) na kuyachafua na kuyanajisi? Ndiyo maana unakuta wanaandika aya za quran kupitia vitu vichafu kama damu za hedhi, wanasomea quran chooni , wanazikanyaga , wanazifutia uchafu wote, wananyonga wanyama badala ya kuchinja, wanafukia vitoto vidogo vikiwa hai n.k yoote ni kwamba kufuru inapokuwa kubwa basi ombi lao hujibiwa wakati wakijua kabisa wataishia jehannam.

4. Sasa kwanini quran?? Ndiyo kitabu pekee cha kweli chenye kubainisha haki na batil chenye ujumbe ulionyooka kwa binadamu na majini kuinajisi quran ni kuvuka mipaka na kujitia alama ya moja kwa moja ( kama hatoachana na uchawi huo na kurudi kwenye uislamu) ndiyo maana washirikina lazima wainajisi quran na si kwamba wanaitumia kwa sababu ni elimu iliyo ndani yake HAPANA HAKU A ELIMU YA ULOZI HUKO HAKUNA ELIMU YOYOTE YA HOVYO HUMO NDANI .
Na albdii je?
Labda nikuelezee kwa ufupi jinsi uchawi/uganga unavyofanya kazi kisha ndo utaelewa kwanini huwa wanatumia quran kufanyia mambo yao.

1. Kwanza jua uchawi haufanyi kazi ispokuwa kwa amri ya Allah( the almighty ) maana yeye ndiyo source ya elimu zoote tunazozijua na tusizozijua enzi za nabii sulaiman ( alayhi salaam ) walitumwa malaika wawili harut na marut kuja wakiwa na elimu ya uchawi kama mtihani kwa umma wa nabii sulaiman na hawakumkaribia mtu yeyote ispokuwa walimwambia wao ni mtihani na watu wasijifunze yale waliyonayo ila shaitan wakawadanganya na kuwafunza watu uchawi/uganga/ushirikina ushahidi ni kwenye surat baqara aya ya 102.

Al-Baqarah 2:102

وَٱتَّبَعُوا۟ مَا تَتْلُوا۟ ٱلشَّيَٰطِينُ عَلَىٰ مُلْكِ سُلَيْمَٰنَۖ وَمَا كَفَرَ سُلَيْمَٰنُ وَلَٰكِنَّ ٱلشَّيَٰطِينَ كَفَرُوا۟ يُعَلِّمُونَ ٱلنَّاسَ ٱلسِّحْرَ وَمَآ أُنزِلَ عَلَى ٱلْمَلَكَيْنِ بِبَابِلَ هَٰرُوتَ وَمَٰرُوتَۚ وَمَا يُعَلِّمَانِ مِنْ أَحَدٍ حَتَّىٰ يَقُولَآ إِنَّمَا نَحْنُ فِتْنَةٌ فَلَا تَكْفُرْۖ فَيَتَعَلَّمُونَ مِنْهُمَا مَا يُفَرِّقُونَ بِهِۦ بَيْنَ ٱلْمَرْءِ وَزَوْجِهِۦۚ وَمَا هُم بِضَآرِّينَ بِهِۦ مِنْ أَحَدٍ إِلَّا بِإِذْنِ ٱللَّهِۚ وَيَتَعَلَّمُونَ مَا يَضُرُّهُمْ وَلَا يَنفَعُهُمْۚ وَلَقَدْ عَلِمُوا۟ لَمَنِ ٱشْتَرَىٰهُ مَا لَهُۥ فِى ٱلْءَاخِرَةِ مِنْ خَلَٰقٍۚ وَلَبِئْسَ مَا شَرَوْا۟ بِهِۦٓ أَنفُسَهُمْۚ لَوْ كَانُوا۟ يَعْلَمُونَ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Na wakafuata yale waliyo zua mashet'ani kuuzulia ufalme wa Su leiman. Na wala Suleiman hakukufuru, bali mashet'ani ndio walio kufuru, wakiwafundisha watu uchawi, na yaliyo teremshwa kwa Malaika wawili, Haaruta na Maaruta katika Baabil. Wala hao hawakumfundisha yeyote mpaka wamwambie: Hakika sisi ni mtihani; basi usikufuru. Wakajifunza kwa hao wawili yale ya kumfarikisha mtu na mkewe. Wala hawawezi kumdhuru mtu ila kwa kutaka Mwenyezi Mungu. Na wanajifunza yatayo wadhuru wala hayawanufaishi. Na hakika wanajua kwamba aliye khiari haya hatakuwa na fungu lolote katika Akhera. Na hakika ni kiovu mno walicho jiuzia nafsi zao laiti wangelijua.

English - Tafsir Ibn Kathir (Abridged)

UCHAWI UNAFANYAJE KAZI?

2. Mchawi na mganga huwa wanaingia mkataba na shaitan hapa shaitan atataka mtu huyu amuabudu yeye badala ya Allah( the almighty) na kisha huyu shaitan atamfanyia mtu huyu yale mambo atakayoyataka ambayo yapo ndani ya uwezo wake si nje ya uwezo wake na pia atamfunza mtu huyo elimu za kishirikina ambazo hazitomsaidi kwa lolote lile zaidi ya kumuondoa kwenye uislamu , kumdhalilisha (kula vilivyooza, kutembea uchi na kujiabisha ) mwisho wa siku akifa katika hali hii basi ataenda motoni milele.

3. Na ili uchawi utimie inabidi KUFURU kubwa sana itendeke ukubwa wa kufuru ndiyo jinsi uchawi unavyoweza kufanya kazi kwa haraka , sasa ni kufuru gani kubwa na itakayomkasirisha Allah (the almighty) zaidi ya kuchukua maneno yake (quran) na kuyachafua na kuyanajisi? Ndiyo maana unakuta wanaandika aya za quran kupitia vitu vichafu kama damu za hedhi, wanasomea quran chooni , wanazikanyaga , wanazifutia uchafu wote, wananyonga wanyama badala ya kuchinja, wanafukia vitoto vidogo vikiwa hai n.k yoote ni kwamba kufuru inapokuwa kubwa basi ombi lao hujibiwa wakati wakijua kabisa wataishia jehannam.

4. Sasa kwanini quran?? Ndiyo kitabu pekee cha kweli chenye kubainisha haki na batil chenye ujumbe ulionyooka kwa binadamu na majini kuinajisi quran ni kuvuka mipaka na kujitia alama ya moja kwa moja ( kama hatoachana na uchawi huo na kurudi kwenye uislamu) ndiyo maana washirikina lazima wainajisi quran na si kwamba wanaitumia kwa sababu ni elimu iliyo ndani yake HAPANA HAKU A ELIMU YA ULOZI HUKO HAKUNA ELIMU YOYOTE YA HOVYO HUMO NDANI .
Je albadili ni uchawi au,?
 
Back
Top Bottom