Wizi sio mzuri ndio maana ukashindwa kuzipangilia rangiN aje mazee kutokana na upweke nilionao tangu niachwe na mtt mzuri Shani,,,
pita pita zangu nikakuta hichi kidude kibarazani kwa mzee limo hapa Kawe nikapita nacho sasa nashindwa jins ya kupanga hivyo virangi
anaejua jins ya kucheza anipe mautunduView attachment 1300601
Sent using Jamii Forums mobile app
izo principal ndo nazitaka mkuu nipo nashindana na manz wangu hapa kucheza so nataka anione mwamba
Sent using Jamii Forums mobile app
hata ww mkuu me nakutoa tu [emoji16][emoji16][emoji3]Utaanza na nani kumtoa sadaka ?
na mm si ndo naanza mapenzi mkuuWakati naanza mapenzi.
Lakini tangu nilipojua elimu ya wanawake sijawahi kuachwa mimi ndo na acha.
Ndo maana nashangaa hapa Shani kukuachaje
Sent using Jamii Forums mobile app
nilikuwa najimwambafai tuWe ni muongo. Huko juu umesema umeachwa ndio unapoteza mawazo tena imekuwaje mnashindana na mpenzi wako? [emoji15]
Sent using Jamii Forums mobile app
Magic cube au Rubik cube...fanya kazi ya kufananisha hizo rangi.
Mimi hutaniweza mkuu. Tafuta mwingine
Kuna ma genius wapo wanakipanga ndani ya dakika moja huku wakiwa wamefungwa macho!!!!!Rubik cube! Ni mchezo mgumu sana (ulibuniwa na professor Rubik) na kina principles zake kwenye kumatch same color katika kila upande...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha...mtoa uzi ana wivu hatari...ila wewe si umeiba mkuu?
Njoo Kawe beach hapa kwenye Ngalawa nikufundishe kukipanga ukishindwa adhabu yako kuogelea mita 100 kwenda na kurudi.N aje mazee kutokana na upweke nilionao tangu niachwe na mtt mzuri Shani,,,
pita pita zangu nikakuta hichi kidude kibarazani kwa mzee limo hapa Kawe nikapita nacho sasa nashindwa jins ya kupanga hivyo virangi
anaejua jins ya kucheza anipe mautunduView attachment 1300601
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mbavu zangu jamaniToka jana! Basi IQ yako inaweza ikawa inasoma negative kama kuna hospitali karibu wahi...
Ndio raha yake hiyome naona kinanitia hasira tu unakuta naangaika inabaki rangi moja kinavurugika
Sent using Jamii Forums mobile app
cheko la umbea hili mdada nimekukosea nn mm z[emoji36][emoji36][emoji37][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbavu zangu jamani
mita 100 za kwenda wap chini au mbeleNjoo Kawe beach hapa kwenye Ngalawa nikufundishe kukipanga ukishindwa adhabu yako kuogelea mita 100 kwenda na kurudi.