hawakitaki tena maana nimekikuta kina matopeKinaitwa kimagic cube,kilinitoa jasho mtu mzima, akaja dogo yupo std 1 akamatch colors faster yaani.ila ni mchezo mzuri hasa kwa watoto unamjengea uwezo wa kufikiria.
Rudisha hicho kidude cha mtoto, kasahau kidogo tu jamaa umepita nacho dah.
Sent using Jamii Forums mobile app
hawana shida nacho ndo maana wakakiacha njeNgoja siku ujisahau upite nacho kwa mzee lyimo,tutaanza kupitishiwa michango ya harusi kwamba mzee lymo anaoa
Kuna jama anakikamilisha kukipanga huna ana freestyle tena huku anapewa natopic huku anazielezea unaeza matafuta Anaitwa "logic"Kuna ma genius wapo wanakipanga ndani ya dakika moja huku wakiwa wamefungwa macho!!!!!
Wana kariri njia wanazopita mpaka sana maliza then wanafungwa macho then wanapita mule mule ndani ya muda mfupi sana kama dakika moja!!
We ni Mwizi Mkuu, Rudisha kidude cha watu.
Unaweza kukimbia mkuu mana hicho kidude ni ki jumanji, ukicheza vibaya unakaribisha wanyama wa kila aina tena wale wakali wakali.
Zungusha ili rangi zipangike..Niaje mazee kutokana na upweke nilionao tangu niachwe na mtoto mzuri Shani.
Pita pita zangu nikakuta hiki kidude kibarazani kwa Mzee Limo hapa Kawe nikapita nacho sasa nashindwa jinsi ya kupanga hivyo virangi.
Anaejua jinsi ya kucheza anipe mautundu.
View attachment 1300601
Sent using Jamii Forums mobile app
Rahisi sanaa... Jitahidime naona kinanitia hasira tu unakuta naangaika inabaki rangi moja kinavurugika
Sent using Jamii Forums mobile app
Anza na white colour tengeneza msalaba..
Hiki ni feki ila original rangi zimepakwa huwezi banduaNjia rahisi ni kubandua hizo rangi na kuzibandika kwa mfuatano unaotakiwa hence equation balanced 😀
Hubandui rangi una rearrange hizo rangi
Niaje mazee kutokana na upweke nilionao tangu niachwe na mtoto mzuri Shani.
Pita pita zangu nikakuta hiki kidude kibarazani kwa Mzee Limo hapa Kawe nikapita nacho sasa nashindwa jinsi ya kupanga hivyo virangi.
Anaejua jinsi ya kucheza anipe mautundu.
View attachment 1300601
Sent using Jamii Forums mobile app
Rubik's cube kinaitwa
,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1316][emoji1316][emoji1316]Piga shoka kiparanganyike panga upya mbona simple sana
Ukiona akili inavurugika achana nacho kwanza, pata K-Vant ya baridiiii kisha kirudie tena.