Hiki kidude kinaitwaje na kinachezwa vipi?

Hiki kidude kinaitwaje na kinachezwa vipi?

miongoni mwa magwiji wa mchezo huo alisema njia rahisi ya kucheza ni kuzipa hizo rangi namba ama herufi. Kwa mfano unaweza kuipa rangi ya Njano herufi "Y" kuwakilisha neno "Yellow" Herufi "R" kuwakilisha neno "Red" rangi nyekundu, Herufi "B" kuwakilisha neno "Blue" rangi ya bluu na herufi "W" kuwasilisha neno "White" rangi nyeupe.

Kila upande una sehemu 9. Kwa ivo kwa kujua huo mfuatano utajua ni wapi rangi gani inatakiwa kupelekwa. Huo mchezo unahusisha kasi ya mikono na umakini wa akili.
nakubaliana na ww mzee Allen ngoja nijaribu hyo mbinu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
N aje mazee kutokana na upweke nilionao tangu niachwe na mtt mzuri Shani,,,

pita pita zangu nikakuta hichi kidude kibarazani kwa mzee limo hapa Kawe nikapita nacho sasa nashindwa jins ya kupanga hivyo virangi

anaejua jins ya kucheza anipe mautunduView attachment 1300601

Sent using Jamii Forums mobile app
Vidude vya ma freemason hivyo. Kaa navyo mbali
 
Back
Top Bottom