Hiki kifaa cha NLAW kimekuwa mateso kwa vifaru vya Warusi

Hiki kifaa cha NLAW kimekuwa mateso kwa vifaru vya Warusi

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Ukizingatia gharama ya kifaru na zaidi gharama ya kufiksha hicho kifaru Ukrane halafu kinaondoshwa na kombora moja tu inayorushwa kwa kifaa kinachobebwa begani, hivi vifaa vipo vingi na ikiwezekana vitagawiwa hata kwa wakulima na akina yakhee mitaani, ili kifaru kikipita kinaliwa shaba.

 
Ukizingatia gharama ya kifaru na zaidi gharama ya kufiksha hicho kifaru Ukrane halafu kinaondoshwa na kombora moja tu inayorushwa kwa kifaa kinachobebwa begani, hivi vifaa vipo vingi na ikiwezekana vitagawiwa hata kwa wakulima na akina yakhee mitaani, ili kifaru kikipita kinaliwa shaba.


Propaganda as usual
 
Ukizingatia gharama ya kifaru na zaidi gharama ya kufiksha hicho kifaru Ukrane halafu kinaondoshwa na kombora moja tu inayorushwa kwa kifaa kinachobebwa begani, hivi vifaa vipo vingi na ikiwezekana vitagawiwa hata kwa wakulima na akina yakhee mitaani, ili kifaru kikipita kinaliwa shaba.


Huchoki tu kutikisa mbuyu.......tako zinalegea hizo
 
huyu jamaa kafa kaoza kwa USA anachambua zile nzuri nzuri tu,tena zile zinazomkonga moyo. Zile element za wale jamaa nahisi naye anazo.
Mkenya huyo hao ni watumwa wa magharibi miaka yote........hata kipindi cha ubaguzi wa rangi walikua pamoja na makaburu
 
Ukizingatia gharama ya kifaru na zaidi gharama ya kufiksha hicho kifaru Ukrane halafu kinaondoshwa na kombora moja tu inayorushwa kwa kifaa kinachobebwa begani, hivi vifaa vipo vingi na ikiwezekana vitagawiwa hata kwa wakulima na akina yakhee mitaani, ili kifaru kikipita kinaliwa shaba.


Hangaika na njaa za watu wenu hapo Kunyaland mkuu!
 
Jamani naomba kufahamu kwa siku mrusi anatumia ghalama kiasi gani kupambana na ukrain na bei ya kifaru kimoja ni sh. Ngapi
Na hizo ghalama atazirudishaje kama akishindwa vita. Au akishinda vita.
 
Back
Top Bottom