Propaganda as usualUkizingatia gharama ya kifaru na zaidi gharama ya kufiksha hicho kifaru Ukrane halafu kinaondoshwa na kombora moja tu inayorushwa kwa kifaa kinachobebwa begani, hivi vifaa vipo vingi na ikiwezekana vitagawiwa hata kwa wakulima na akina yakhee mitaani, ili kifaru kikipita kinaliwa shaba.
Huchoki tu kutikisa mbuyu.......tako zinalegea hizoUkizingatia gharama ya kifaru na zaidi gharama ya kufiksha hicho kifaru Ukrane halafu kinaondoshwa na kombora moja tu inayorushwa kwa kifaa kinachobebwa begani, hivi vifaa vipo vingi na ikiwezekana vitagawiwa hata kwa wakulima na akina yakhee mitaani, ili kifaru kikipita kinaliwa shaba.
huyu jamaa kafa kaoza kwa USA anachambua zile nzuri nzuri tu,tena zile zinazomkonga moyo. Zile element za wale jamaa nahisi naye anazo.Huchoki tu kutikisa mbuyu.......tako zinalegea hizo
Mkenya huyo hao ni watumwa wa magharibi miaka yote........hata kipindi cha ubaguzi wa rangi walikua pamoja na makaburuhuyu jamaa kafa kaoza kwa USA anachambua zile nzuri nzuri tu,tena zile zinazomkonga moyo. Zile element za wale jamaa nahisi naye anazo.
Kwahiyo wewe ni mtumwa wa Putin? Au anachofanya Putin kuvamia nchi nyingine kwako ni sahihi?Mkenya huyo hao ni watumwa wa magharibi miaka yote........hata kipindi cha ubaguzi wa rangi walikua pamoja na makaburu
niambie sababu ya Putin kuvamia UkraineKwahiyo wewe ni mtumwa wa Putin? Au anachofanya Putin kuvamia nchi nyingine kwako ni sahihi?
Hao watetea mashoga mbona wanavamia nchi za wengine kila siku na hakuna wanaowaonea huruma.....mkuki kwa nguruwe...........mie ni mtumwa wa uhuru na hakiKwahiyo wewe ni mtumwa wa Putin? Au anachofanya Putin kuvamia nchi nyingine kwako ni sahihi?
Hawezi kujua huyo.. Infact jamaa ni zero kichwani na fata upeponiambie sababu ya Putin kuvamia Ukraine
hapo utasikia anavamia nchi guru, anaua raia bila hats kujua main source ni niniHawezi kujua huyo.. Infact jamaa ni zero kichwani na fata upepo
Atakuwa amesaga ndo maana ana vimbaShughulikia msosi kwanza bob
View attachment 2148540
Ukraine imevamia nchi gani?Hao watetea mashoga mbona wanavamia nchi za wengine kila siku na hakuna wanaowaonea huruma.....mkuki kwa nguruwe...........mie ni mtumwa wa uhuru na haki
Hangaika na njaa za watu wenu hapo Kunyaland mkuu!Ukizingatia gharama ya kifaru na zaidi gharama ya kufiksha hicho kifaru Ukrane halafu kinaondoshwa na kombora moja tu inayorushwa kwa kifaa kinachobebwa begani, hivi vifaa vipo vingi na ikiwezekana vitagawiwa hata kwa wakulima na akina yakhee mitaani, ili kifaru kikipita kinaliwa shaba.