UNAIJUA T AMARTA TANKUkizingatia gharama ya kifaru na zaidi gharama ya kufiksha hicho kifaru Ukrane halafu kinaondoshwa na kombora moja tu inayorushwa kwa kifaa kinachobebwa begani, hivi vifaa vipo vingi na ikiwezekana vitagawiwa hata kwa wakulima na akina yakhee mitaani, ili kifaru kikipita kinaliwa shaba.
Urusi anapunguza stock ya vifaru vya aina T 72 ambavyo anavyo 2000Ukizingatia gharama ya kifaru na zaidi gharama ya kufiksha hicho kifaru Ukrane halafu kinaondoshwa na kombora moja tu inayorushwa kwa kifaa kinachobebwa begani, hivi vifaa vipo vingi na ikiwezekana vitagawiwa hata kwa wakulima na akina yakhee mitaani, ili kifaru kikipita kinaliwa shaba.
Ukizingatia gharama ya kifaru na zaidi gharama ya kufiksha hicho kifaru Ukrane halafu kinaondoshwa na kombora moja tu inayorushwa kwa kifaa kinachobebwa begani, hivi vifaa vipo vingi na ikiwezekana vitagawiwa hata kwa wakulima na akina yakhee mitaani, ili kifaru kikipita kinaliwa shaba.
Jumlisha na dron za mturuki, stingers na kuna silaha "Saint" Javelin.Kakifaaa kamewachanganya [emoji38][emoji38][emoji38]
Hichi kifaa ni ukweli mtupu teknolojia alio itumia mmarekani hapo ni ya Hali ya juu Sana .
Yaani hicho kifaa ni spesho kwa ajiri ya vifaru tu. Na hicho shabaha yake hata mlevi analenga na akisha fyatua chenyewe ndio kinaanza kukitafuta kifaru kipo wapi.
Na Cha ajabu zaidi yaani mpigo mmoja tu kifaru kinachanika hovyo hovyo na kupotea kabisa ramani yake. Na hicho ndicho myukren anajivunia.
Na kimekua sumu kwa putin na kinasambaratisha hovyohovyo majeshi ya urusi ....hatukatai ukrein nao wanapigwa Ila ukiwianisha urusi ndio anachakazwa zaidi kwa sababu mrusi ndani ya wiki moja kapoteza wanajeshi Zaid ya elfu kumi Hadi nae imefikia hatua anaomba watu kutoka mataifa mengine awape uraia bure ili wakapigane.
Wanao bisha kwamba mrusi hapigwi hwana akili na hawafuatilii mambo sawa wewe ni baunsa ndio upigane huku umefungwa kamba na mtu ambaye Hana kamba ....? Hizi ngumi unashindaje....? Hata Kama unagombana na mtu ambaye Hana Mikono.
Mmarekani anasilaha nyingi na nzito sema ndio hivyo kazifucha moja ya silaha ambayo ni mpya ulimwenguni ni hicho kifaa kwa ajiri ya vifaru.
Na hapa mrusi hayo makombora ya nukes anayo yategemea mwenzie mmarekani Alisha kuwa nayo miaka 70 ilio pita na aliyajaribia Japan na tangu hapo hajawahi Tena kufanya majaribio ya hayo madude kwa sababu anayafahamu. Sasa wewe fikiri tangu miaka hiyo Hadi Leo atakua ameyaboresha kiasi gani.....? Na hao wakina kiduku na putin wao wameyapata juzi tu kelele nyiingi na kuhatarisha usala wa dunia. Mbona mwenzao anayo kitambo tu Wala hafanyi majaribio....?
Mrusi anavutiwa Kasi tu ngoja kwanza ayumbe kiuchumi ndio atajua who is the fucking nato.
Warusi watashinda hii vita lakini watapata tabu sana. Vita ya mtaa kwa mtaa ni ngumu cause hujui adui amejificha wapi na hivi Ukraine amevurugwa so hana cha kupoteza.Hebu ona vifaru vinavyoliwa shaba, hatari sana...
Bwashee wahi mafuta ya promosheni kwa PutinPropaganda as usual
Usihangaike na mtu aliyekatwa govi kwa hisani ya USA atakutoa rohoniambie sababu ya Putin kuvamia Ukraine
Sana tu mpaka anabomoa nyumba za kuishi watuKwenye Hii vita bwanamkubwa , Russia amedhalilishwa Sana na bwanamdogo, Ukraine.
Putin amefanyiwa surprise ya kufa Mtu na Ukraine [emoji848]
Frustrated Putin.Hawezi kuua wanawake na watoto,raia wasio na hatia halafu ategemee kupata support 🤔Sana tu mpaka anabomoa nyumba za kuishi watu
Hapana. Kuna Siraha mbili za Marekani ambazo Ukraine wamepewa.Mkuu hii inaitwa Stinger ni zao la Mmarekani., Warusi wanashika adabu yao sasa wameomba msaada kutoka China maamae zao
View attachment 2150126
Hakuna kitu kinaitwa 'ghalama' yani nyinyi pro Ukraine hata kuandika hamuwezi!?Jamani naomba kufahamu kwa siku mrusi anatumia ghalama kiasi gani kupambana na ukrain na bei ya kifaru kimoja ni sh. Ngapi
Na hizo ghalama atazirudishaje kama akishindwa vita. Au akishinda vita.
Ahsante sana mkuu umefanya jambo lá mboleaWatu wanabeba maeneo huko we unabwabwa na tuvifaru.......vita casualties lazima na mjeshi kifo ni kama kunywa maji tu.....sio kama wale mashoga wanaoogopa kuchapika wanatoa wenzao chambo
Wanaume wanazidi kuibeba nchi
Ukraine apigwe tuMkakati wakati wameishiwa mbinu.......kwa sasa kinachowaokoa ni kujificha tu kwa raia wakijua mrusi hawezi shambulia raia na wao ndo wanafanya hizo ambush zao...........ndo maana wanaleta figisu raia wasiokolewe maana ndo ngao zao.....wakitoka raia ndani ya sekunde tu mrusi anawafagia
Wanajitahidi kutuficha ukweliHujui kitu wewe umeegemea kwenye propaganda za wamarekani na NATO wakati ukraine wanaumia. Sijaona hata mji mmoja wa Urusi umeshambuliwa mmebaki na propaganda za BBC Aljazeera na BBC. Jiulize kwa nini wamarekani kwanini wanazuia clip zinazoonyesha waukraine wakipata kibano??!
YouTube wanazinguaYouTube wamecharuka wanafungia video zozote za propaganda za mrusi...............wanaogopa watu wataonyeshwa vile wanavyohangaika kuvificha
Balaa MUNGU asaidie maelewano yawepoHebu ona vifaru vinavyoliwa shaba, hatari sana...
Kuna watu humu wanatamani tu kusikia waukraine wameuawa, wakisikia warusi wamechinjwa wanakasirika utafikiri wamechinjwa wao afu wanajifariji kwa kusema 'Propaganda' [emoji1787][emoji1787][emoji1787]