Hiki kigari ni aina gani?

Hiki kigari ni aina gani?

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Kuna kigari nakiona ona sana barabarani
ni pick up kina tairi la spare mbele
ni kama ni cha mtu mmoja tu anakiendesha kilivyo...
kidogo sana...

kuna anaejua ni kigari gani?
brand ipi?kikoje details?
 
Hebu fafanua kidogo nikivutie picha....kina fanana na guta? au kilikuu? kina matairi au ringi? je matairi yake ni meusi au meupe? kinatoa moshi na muungurumo au kinapiga za kimya kimya?
 
nasubiri majibu ya wengine na mie nifaidike
 
Hebu fafanua kidogo nikivutie picha....kina fanana na guta? au kilikuu? kina matairi au ringi? je matairi yake ni meusi au meupe? kinatoa moshi na muungurumo au kinapiga za kimya kimya?
..zoom..zoom..
 
Hebu fafanua kidogo nikivutie picha....kina fanana na guta? au kilikuu? kina matairi au ringi? je matairi yake ni meusi au meupe? kinatoa moshi na muungurumo au kinapiga za kimya kimya?

kiko kama Suzuki Carry ila kidogo zaidi
matairi kama ya pikipiki
tairi la spare liko mbele ya gari
 
ShiYan3wheel.gif
 
Ni suzuki carry mkuu The Boss,vipo kama vitatu nenda pale ilala stendi ya mabasi ya raha leo utaviona!
 
Funy watu wengi wanakiona but hawajui ni kigari gani..
 
Back
Top Bottom