Kwa anaye waongezea vyeo na mshahara masurufu ni naniMbona iko wazi kuwa Polisi ni wabia wakubwa wa CCM katika maovu yote ikiwepo wizi wa kura na kuwateka,kuwatesa na kuwaua wapinzani ili CCM iendelee kutawala.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa anaye waongezea vyeo na mshahara masurufu ni naniMbona iko wazi kuwa Polisi ni wabia wakubwa wa CCM katika maovu yote ikiwepo wizi wa kura na kuwateka,kuwatesa na kuwaua wapinzani ili CCM iendelee kutawala.
Huo ndio ukweli.Nimekiangalia hiki kikatuni, na kuunganisha alichokisema Jaji Warioba kwenye mkutano wake na wanahabari, kimenitafakarisha Sana.
Wewe unaona kama kuna ukweli fulani kuhusu hil katuni?
View attachment 3169005
Tujadiliane.
Gaslighting.Jaji Warioba: Serikali ndio inaingiza Polisi Kwenye Siasa Siyo CCM
Serekali ya nani? Nani Rais na nani mwenyekiti wa CCM?Jaji Warioba: Serikali ndio inaingiza Polisi Kwenye Siasa Siyo CCM
HahahaMbona iko wazi kuwa Polisi ni wabia wakubwa wa CCM katika maovu yote ikiwepo wizi wa kura na kuwateka,kuwatesa na kuwaua wapinzani ili CCM iendelee kutawala.
Ccm wameshakuwa Intarahamwe wa Rwanda au wale Mbonelakule ya BurundiSerekali ya nani? Nani Rais na nani mwenyekiti wa CCM?
Serikali haifanyi siasa na haina chama.Jaji Warioba: Serikali ndio inaingiza Polisi Kwenye Siasa Siyo CCM
Serikali ni nini. Na unawezaje kuitenganisha Serikali na chama kinachoongoza serikali?Serikali haifanyi siasa na haina chama.
Ule upande wa kijani mkono ni mwembamba kweli kweli 😅Nimekiangalia hiki kikatuni, na kuunganisha alichokisema Jaji Warioba kwenye mkutano wake na wanahabari, kimenitafakarisha Sana.
Wewe unaona kama kuna ukweli fulani kuhusu hil katuni?
View attachment 3169005
Tujadiliane.
Kwanza hata inapotamkwa huitwa Serikali ya Chama Fulani 🙌Serikali ni nini. Na unawezaje kuitenganisha Serikali na chama kinachoongoza serikali?
Duh 🙄😳 !Ccm wameshakuwa Intarahamwe wa Rwanda au wale Mbonelakule ya Burundi
Ccm oyeeNimekiangalia hiki kikatuni, na kuunganisha alichokisema Jaji Warioba kwenye mkutano wake na wanahabari, kimenitafakarisha Sana.
Wewe unaona kama kuna ukweli fulani kuhusu hil katuni?
View attachment 3169005
Tujadiliane.
Kidumuuui!!Ccm oyee