Hiki kipindi cha mvua kina baridi hatariii

Hiki kipindi cha mvua kina baridi hatariii

Za asubuhi waungwana.

Hiki kipindi kinahamasisha mgegedo walio kwenye ndoa kipindi hiki wanatupiga bao kwa maana wao mgegedo ni uhakika.

Lakini kwa sisi kataa ndoa hali ni mbaya demu unampanga hapangiki akija leo kurudi tena hadi wiki ipite nataka nirudi kwenye mrenda wa uvuguvugu.

Hali ni mbaya mdada anayesumbuliwa na baridi aje tuzungumze pm.
Hii ndio raha ya ndoa,saa hizi maofisini tunasinzia tu,ikifika usiku tena,kama kawa...
 
Naomba nilime mabamia yangu hapo pia kama hutojali

Nipo mwaya, maisha yanatupeleka mbio mwenzangu
Kilimo cha vibamia hakikubali huku nje ya jiji labda huko daslama ndio nasikia vibamia vinalimwa sana.

Nshakua mwenzako tena😅
Ulimisika sana.
 
Back
Top Bottom