Hiki kisa cha huyu mwanaume aliyetembea na shemeji yake kimenifunza.

Adi mauki kaingilia kati usifanye mchezo na physiological tougher ila wanaume mkomage na nyie mjifunze kukaa mbali na shemeji zenu mtaja kufa mdomo wazi kisa k japo mwanamke ndo alie muwekea mazingira ya kumtafuna


Mauki anasemaje kuhusu hilo swala..
 
B anatakiwa ahame kabisa huo mji .Huo ukimya utamfanya ateseke sana
 
Tufupishe story tufanye leo tena ni L clouds ni P af gea ni G mke ni a C bakwata ni D na mjumbe ni M wakati huo familia ni F mchumba wa B ni X
fiesta ni Z

ina maana A na B wamesoma na kukua pamoja...A kawah kupata kazi na kumuoa C...A na B ni marafiki wa kufa na kuzikana...A yuko njema anamsaidia B kwa mambo mengi...A anagundua C anampenda B akat ni mkewe...anawawekea mtego na kuwakuta wamebanjuana anamwambia C nimekuwekea 20k mezan ya matumiz....B na C wanasubir reaction ya A na A haonesh kujua lolote...B na C wanadata baada ya muda B anaenda kwa M anaeleza tukio...M anamuita A nae A anamwambia M hakuna lolote na kumsih B atulie....mda unapita B na C wanazid kuoneshwa upendo na A nae B anazid kudata anaenda kushtak kwa F nao F anamwita A nae A anajibu kama alivojibu kwa M linaisha maana F haioni kesi...Inatokea Z af A anamwambia B na C waende kwenye Z wanakubali ila mpaka Z inaisha B na C hawana raha...B anapeleka kesi kwa D nae D anamwita Af A anafanya yaleyale nae D haoni kesi...C anaona A ataniua anakimbia...anabaki B anamtafta G nae G anaipeleka kwa L ambayi ilo ni program ya P kwenye L kuna hekaheka na hapo ndo mtoa mada anajua kilichotokea...tutarud kwa mtoa mada tuendelee kidogo...A anakubali kutoa ukwel kwa G na anasema C alikua anampenda B hivo wakat huohuo B ana X...A hakuona busara kukosana na B akat huenda alitegwa na C...X anataka kuachana na B ila A anawapatanisha na wanaelewana .... kwa maana hio X anamuelewa sana A yajayo yanafurahisha...turud kwa mleta mada..mleta mada anaileta JF na mimi I AM SINA JAMBO nafupisha ...na nyie mnasoma



NB: Watu wengi wanaijua hii adhabu na wanahis ni ya kawaida lakini omba isikukute



I AM SINA JAMBO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh
 
Najiuliza kama b anahaha hivi je mke anayelala naye na kuishi naye kila sku. eti B anasema siku ya mechi ya simba A alienda chek mechi kwake alikuwa anatamani kufa
Nami nimejiuliza hili maana upande huo haujazungumziwa kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…