Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,626
Kwa hiyo unacho pendekeza hapa ni kwamba kuna wanawake wengi wanashiriki hako kamchezo na Marytina kaja ku-beep tu hapa?
Kwa maelezo ya Boss,
Nasubiru wajukuu waendelee kumwaga ushuhuda.....
Ila wale waliopita boarding wametusimulia hadith ya kuiba test tubes za maabara ya kemia!!
Naamini mwakani tutakuwa na akina Marytina kibao watakaoamua kujivua gamba!!