Hiki kisa nimekifanya siri/vumilia kinantesa ni nafuu nikiseme kinitoke kichwani

Wengine hapa tukifunguka ya moyoni hizo komputa zenu sijui simu
Zitalipuka mkifungua
Maana ni virusi tupu

Ndo maana mie nilikupongeza toka mwanzo
Eti wote malaika, jamani!
dear klorokwini
huwa nakuzimia sana ubaya upo kwenye jina lako tu.
Tatizo baadhi ya watu huwa wanapenda na wanaweza sana kutunza siri kwa kweli mimi siri hunitesaga dats why nafunguka then mnanikandia
 
Wengine hapa tukifunguka ya moyoni hizo komouta zenu sijui simu
Zitalipuka mkifungua
Maana ni virusi tupu

Ndo maana mie nilikupongeza toka mwanzo
Eti wote malaika, jamani!

hata mimi naamini nina visa vichache na vya kawaida kuliko wengi tuu sema udhubutu wa kuvisema umeniponza
 
Dada pole kwa yote na hongera kwa ushujaa wa kuja kusema humu. Wengi wetu tumeshafanya mambo ya ajali na aibu zaidi ya hayo lakini tumekaa kimya na sasa tunakuzodoa!!!

Kufanya kosa sio kosa, kosa ni kurudia kosa. Umeshajua kosa lako, nenda katubu kanisani au msikitini (Jina lako linaonyesha ni Mkristo) na jiepushe na mazingira yote yatakayokufanya utende kosa kama hilo tena.

Nasema tena, Bravo kwa kuwa na moyo wa kufungua moyo wako.
Ni wangapi kati yetu wamefanya makubwa zaidi ya hayo na tunakufa nayo miyoni mwetu?
 
raha jipe mwenyewe.....huna haja ya kuumza kchwa akati unasema raha ulpata....lesbian 2mezaliwa nao asa unafkr wao raha watapata ap???kama vp mpe hyo nafac aendeleeeeeeee
 
raha jipe mwenyewe.....huna haja ya kuumza kchwa akati unasema raha ulpata....lesbian 2mezaliwa nao asa unafkr wao raha watapata ap???kama vp mpe hyo nafac aendeleeeeeeee

No wonder this is your 1st. post! Conglatulations and Karibu JF
 
raha jipe mwenyewe.....huna haja ya kuumza kchwa akati unasema raha ulpata....lesbian 2mezaliwa nao asa unafkr wao raha watapata ap???kama vp mpe hyo nafac aendeleeeeeeee

jamani yaani umejisajiri tu ili uanze na hii post lol
 
Toka hapa dume ***** weee! Hata kuigiza sauti ya kike hujui! Alaaaa!
 

Kwa hiyo kwa ufupi wifi yako aliku-du!
 
subai,hivyo umesagwa?!aimin u wea grinded,yethuu
 
Bishanga, una habari yoyote ya Eliza wa Tegeta? alipona mafuriko?

Mwali, umeshamjua Eliza wa Tegeta? dah

Join Date : 9th November 2011

Location : Ushongo Mabaoni, Tanga
Posts : 551
Rep Power : 1796
 
Unasema ulisikia raha; si ndicho ulichokuwa unakitafuta? Kama huyo BF wako hajarudi na ukame unakusumbua, endelea kuridhishana na wifi yako ambaye inaonekana ni msagaji mzoefu, hakuanzia kwako. Ukizoea kusagwa, hutaona tena haja ya penetration ya dume, utataka kuendeleza huo ubazazi mnaofanyiana na huyo wifiyo dumejike, utaathiri mahusiano yako na BF wako na maisha yako ya mahusiano ya mke na mme; kazi kwako.
 
Inawezekana huyo boyfriend wako ni JF member na atakuwa amesoma hapa. Ila akirudi inabidi na yeye umpe taarifa hizi ili uutue kabisa huo mzigo na nafsi yako iwe huru.......
hiyo ilikuwa ya no string attached ww mrembo.
vp upo lkn?
 
imagine una miezi mitano bila ku.... then mtu anajipulizia manukato ya mpenzi wako kisa unakushawishi wewe to imitate kuwa yeye ni ni BF wako, UNAKOSEA UNAKUBALI TO IMITATE yaan hata ingekuwa wewe ungenasa
hiyo perfum inaitwaje na mm nijipulizie hlf nikushawishi ,,,,hata mm nina miezi mingi gf wangu naye kasafiri.
 
as long umeshaisema..utaisahau...
merry x.mass & happy new year
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…