Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,626
Inaweza kua ni ukweli kwake na bado ikawa sio ukweli kwa wanawake wengine. Nadhani ndio maana Husninyo kasema kua inawezekana
Mwali,
Hao wengine kama wewe hawalijui game...ni kama sie wabara tusivyojua utamu wa mapishi ya nazi ya watu wa pwani!!
Ndo maana ushuhuda wa Marytina unabaki kuwa ushahidi usio na utata!!