Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yewooooomiii!!! Yesu, mariaa na mashostee!yeomii....!
Pole bana,labda ukame ulikuzidia,mlikumbuka kinga?
Wengine hapa tukifunguka ya moyoni hizo komputa zenu sijui simu
Zitalipuka mkifungua
Maana ni virusi tupu
Ndo maana mie nilikupongeza toka mwanzo
Eti wote malaika, jamani!
Mi kwa uzoefu wangu(nlishakuwa na dem lesbian) huwa wakishaonja hayo mambo hawaachagi labda aende kwenye maombi na afanyiwe counselling ya hali ya juu. Ila kiukweli siku ukibahatika kutafuna lesbian lazma upagawe kwa utamu utakaopata!Na hapa keshapata kipimo, kaka mtu sijui atafanyaje kama hatofikia kiwango hicho, basi itakula kwake!
ushuhuda wa martyna unaonesha hiyo kitu ni asali. Mi mwenyewe nishasumbuliwa sana na lesbians ila nashukuru nimevishinda vishawishi vyao.
Mawazo yako tu bibie, ulifanya vizuri kujifungua.wana JF tokea nilipokisema hiki kisa naandamwa na mikosi midodo midogo sijui kwa nini?
Mi kwa uzoefu wangu(nlishakuwa na dem lesbian) huwa wakishaonja hayo mambo hawaachagi labda aende kwenye maombi na afanyiwe counselling ya hali ya juu. Ila kiukweli siku ukibahatika kutafuna lesbian lazma upagawe kwa utamu utakaopata!
nashukuru huyu wifi yangu kaondoka manake nilikuwa napata tabu sana kuvumilia uwepo wake
Kuna jamaa humu alisema bora mkewe asagwe na mwanamke mwenziwe kuliko kudoiwa na mwanaume.