wanajifanyaga wanajua'' kumbe kichwani ni empty set"... walikuwa wapi wakati yondo sister ", soukus star".. na kina gatho" walipokuwa wanachomoka sentensi za kiswahili katika nyimbo zao".... mpaka leo hii wanaibuka tena bila hata mshipa wa aibu kupinda" nakuanza kusema kuwa diamond ndio amekipa power kiswahili