Nilikua nasikiliza redio moja hivi ya FM nikasikia maneno yafuatayo
"full mzuka"
"Akampa vitasa"
"Kiroho safi"
"Arachuga"
"Mzeya"
"Amesepa"
hii lugha itakuwa inafananaje baada ya miaka kumi?
[kila jambo huja nakuondoka lugha uzaliwa na kufa QUOTE]
hiki ni kiswahili cha mtaani kwa lugha fasaha niite lugha isyo rasmi lakini ni maneno ambayo yanazungumzwa katika maeneo ya mjini na wanaopenda sana ni vijana kwani uisi ni kwenda na wakati