Hiki kitu hakiwakeri wadada

Hiki kitu hakiwakeri wadada

🤣🤣🤣

Shemeji huyo shoga angu ana kasura kake kazuri sana
Wazungu wanaitaga babyface
Shemeji wewe unanipiga sana.

Mara ana kishundu, nikiomba unaniambia ngoja utafute iliyotokelezea. Mara uniambie ana baby, mpaka ukampige make up tena.

Depal karidhika na sura yake personal.
 
Shemeji wewe unanipiga sana.

Mara ana kishundu, nikiomba unaniambia ngoja utafute iliyotokelezea. Mara uniambie ana baby, mpaka ukampige make up tena.

Depal karidhika na sura yake personal.
Shemeji niamini mimi

Hiyo pisi imekamilika kila idara au basi
 
Hapo naunganisha bao nne mfululizo
Na hapa unaunganisha bao ngapi?
Screenshot_20230201-231816.png
Screenshot_20230201-232144.png
 
Kiukweli sjawahi kudate na Mwanamke wa jf ever...ninachoamin humu kuna wadada wale wazoefu hasa wa maisha na kilometres zao zmeenda sana.

Mimi i never expect kukutana na mdada mbichi humu ..huo ndo ukwel humu yamejaa madem yaliyomaliza vyuo na single mama..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko wee unataka wa primary?? Lol
 
Kiukweli sjawahi kudate na Mwanamke wa jf ever...ninachoamin humu kuna wadada wale wazoefu hasa wa maisha na kilometres zao zmeenda sana.

Mimi i never expect kukutana na mdada mbichi humu ..huo ndo ukwel humu yamejaa madem yaliyomaliza vyuo na single mama..
Mgosi ni hisia zako humu kuna wabichi kabisa
 
Kiukweli sjawahi kudate na Mwanamke wa jf ever...ninachoamin humu kuna wadada wale wazoefu hasa wa maisha na kilometres zao zmeenda sana.

Mimi i never expect kukutana na mdada mbichi humu ..huo ndo ukwel humu yamejaa madem yaliyomaliza vyuo na single mama..
Mkuu acha udhalilishaji wa kijinsia,gender discrimination ni racism mbaya pia,halafu kila siku mnalaumu sijui Wazungu,Waarabu mara Wahindi eti wanawabagua.
 
Back
Top Bottom