Mivyumba
JF-Expert Member
- Apr 20, 2017
- 275
- 533
Yeah! Ilikuwa haina upuuzi.Kweli ya 2019 kudi nyuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah! Ilikuwa haina upuuzi.Kweli ya 2019 kudi nyuma
Hivi mwanangu kuna siku huwazagi ngono?🤣🤣🤣🤣Ebo wawe na heshima mwanaume ndio awe anajitambua kuanzia heshima , angalie anavyoongea sio akutukane mf. Unique Flower ni muadhirika ebo eti tukae kimya tu kisaa. Mwaga ugali na SI tunamwaga mboga nyima unyumba nasisi hivyo hivyoo tunaenda kumpa baraka
Ungenisaidia kuwaonya ingekuwa. Sawa ila wewe hapo unawaunga mkonoHivi mwanangu kuna siku huwazagi ngono?🤣🤣🤣🤣
Unatisha sana mwamba...unapenda kunyanduana sana eee...lazima utamke hili tu?😅😅
Yaani moto wa jehanamu unakusuburia wewe tu Mungu aumbe mwenyewe Kwa mikono yake halafu uwapondeeTusome thread
Tuzijibu
Ila achana na habari za wanawake wenye fake id’s wa jamii forum.
Hao wanaotoa sifa waacheni watoe.
Usithubutu!! Ewe mwanaume humu unayeelewa. Waponde tu kama unaweza.😂😂😂
Ni wanasura mbaya hatari walahi nakuapia usiseme nimejuaje
Kweli nahamu yakukuona halafu mmh hayaNiku PM sura yangu unione nilivyo Handsome?
Wanaume wa humu wengi wana sura kama nyungumawe.
Alf vijitu vifupi vingi ndo mana vinamakasiriko.
Kweli nahamu yakukuona halafu mmh haya
MhNi PM namba yako
Kwanza umri wako twafadhaliNi PM namba yako
Endelea kuamini hivyo hivyo kiongozi.Kiukweli sjawahi kudate na Mwanamke wa jf ever...ninachoamin humu kuna wadada wale wazoefu hasa wa maisha na kilometres zao zmeenda sana.
Mimi i never expect kukutana na mdada mbichi humu ..huo ndo ukwel humu yamejaa madem yaliyomaliza vyuo na single mama..
Mwanamke anatakiwa kuwa mzuri no mara waaah. Mwanaume haringi wala hatakiwi kutambia uzuri. Uzuri wa mwanaume sio sura bali ni uwezo wake wa uchumi na kujimudu.
Ingekuwa ni uzuri basi hata Beyonce asingekuwa na Jay Z maana jamaa nae anasura kama goti la ngamia ni pesa tu.
🤣🤣🤣🤣Wanaume wa humu wengi wana sura kama nyungumawe.
Alf vijitu vifupi vingi ndo mana vinamakasiriko.
HakikaUpendo huvumilia yote...
Jay Z na lile domo angekuwa Unique Flower angemkataa kabisa yaani muonekano wa nje sio ishu ishu ni upendo tu na mafanikio na baraka zote zitakuja tu.
Kweli ya 2019 kudi nyuma