Hiki kizazi kinadumazwa akili sababu ya Muziki wa Bongofleva

Wasikiliza reggae bwanaaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
huna akili
 
Chanzo cha Yote... siku hizi Nyimbo HAZITUNGWI bali ZINAWAZWA.
 
Umsaidie nani wewe masikini kuandika kwenyewe shida peleka njaa zako huko unatamka hela Kwa maandishi unafikiri nani atakuelewa onyesha account Yako ya pesa kama Mimi kijana nilivyokuonyesha eti usimdharau mtu wewe ili li uzi lako si umelileta hapa ili udharau harakati za vijana jinga kabisa wewe njaa inakusumbua akili onyesha account Yako yenye hata 1 million tu sio unatupigia kelele hapa
 
Kwani umelazimishwa kusikiliza mziki? Af em niongeze sauti kwenye sabufa nisikilize mtoto kautaka by Jaivah! Aweeh!
 
Dogo ukikaa sana inje ya Tanzania kwa miaka mingi lazima upoteze capacity ya kuandika lugha yako mama,sababu unakuwa unaingiza lugha ngeni ya inchi husika ulipo,kwa tarifa yako huko kwenye wajinga waliojaa kama wewe huwa nakuja tu kutembea na kuondoka,nilishahama bongo toka kipindi cha utawala wa mkapa sta ovir voće marucu
 
Onyesha account mzee kelele za nini masikini wewe unaleta kelele nyingi onyesha vibunda bila kuonyeshz vibunda yote unayoongea ni uongoooo 🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mzee asa unatambia gari za wasanii me nikajua lako
Look how stupid you are
Acha ujinga wewe unanijua Maisha yangu halisi?
Hapa tupo na fake I'ds budda,
Hata ningekua na Lamosine nisingetambia gari langu sababu watu wenye makasiriko hua hamwishiwi Tashwishwi!
😁😁
 

Siyo "freva" ni "fleva"
 
Nchi imejaa watu wenye hasira lakini mama ye anaupiga mwingi peke yake bila kitoa pasi. Nyinyi watu mimi nimeshawasehe
 
Onyesha account mzee kelele za nini masikini wewe unaleta kelele nyingi onyesha vibunda bila kuonyeshz vibunda yote unayoongea ni uongoooo 🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Sasa sijui unataka nionyeshe hera ya aina gani? Maana siyo hera zote zinaringana,ingawa nakupa pole kwa ushamba wako,maana kuna hera zingine ni sawa na Madafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…