Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
What the fvc fun dude kwamba wewe ndio unazijua sana Hit em up,in da clubPole Sana haya yote uliyoyaandika sababu ya kusikiliza bongo fleva ungekuwa mtu wa reggae au Hip Hop usingejibu hiyo, hujui hata maana ya Get up stand up stand up for your right
Buffalo Soldier,Zimbabwe,Masada, Jerusalem na kina Bob,Alfa,Lucky, Burning spear ni washkaji zako saaaana ulicheza nao utotoni au Sio?😁😁
Halafu hayo ma song yalikua na vibe zama za Apartheid huko leo nani umwimbie fighting for freedom akuelewe kwani unadhani watu wapo kwenye movement za FRELIMO na ANC kwa Madiba Free Mandela?
Hiki ni kizazi cha Zuchu na Jay Melody acha kujisahaulisha kumbuka hatutumii cassette tape tupo na Online stream now says kwani unakwama wapi Babu?
😁😁