Hiki ndicho alichopost Zari baada ya picha za Hamisa na Diamond kuvuja

Hiki ndicho alichopost Zari baada ya picha za Hamisa na Diamond kuvuja

hiki ndicho wabongo wanachokiweza kuchokonoa na kufuatilia life za watu. Naipenda tanzania kwa hili tumebarikiwa kwa umbea tuu, hatujambo katika hili. Yaani tunafikia hatua ya kumchagulia mtu wakumpenda hatari sana.

Ila tuu mjue Diamond ni muislamu na dini inaruhusu hata Wema na Mobeto wote wakitaka wanaweza kuolewa na Mondi
usichofahamu ni kuwa hao hao mastaa ndio wanaotaka sisi tuwafatilie.. mbona hatuwafatifati wakina hemedyphd? diamond nafamilia yake wanataka wenyewe kufatiliwa
 
Hata apost magari yote duniani lakin swala la ben 10 wake kupeleka bmdogo kitandan kwake amemdhalilisha.. So she should relax and apambane na hali yake! Hata udrive bentley, Lamborghini etc but kama huna peace of mind hakuna kitu! Mwsho upate ajali bureeee
Apambsne na hali yake? Au Hamisa ndo apambane na hali yake? Mwenzake maarufu na anahela za kutosha, hamisa asubur kupewa laki 5 yake kwa wiki na sijui kama atapewa tena mana alipewa kutunza siri akashindwa.

Anyways i think ni wewe upambane na hali yako tu, mwenzako anakula bata
 
Back
Top Bottom