Hiki ndicho alichopost Zari baada ya picha za Hamisa na Diamond kuvuja

Hiki ndicho alichopost Zari baada ya picha za Hamisa na Diamond kuvuja

Huyo zari angekua levels asingekuja kutafuta umaarufu Bongo tena kwa mond ,Asingeshare na huyo Hamisa anaemuita Cheap ass.....
Maboss lady hawawi hivo,atulie tu hamisa amvue nguo hadharani,na inavoonekana hamisa anaingia madale muda wowote hana kizuizi maana kuna video ana mimba kubwa kabisa ya miezi kama 8 au9....

atulie hamisa atushushie mahiroshima😛😛😛😛 ili wanaume wengine waone mfano wasikatae watoto zao
hiki ndicho wabongo wanachokiweza kuchokonoa na kufuatilia life za watu. Naipenda tanzania kwa hili tumebarikiwa kwa umbea tuu, hatujambo katika hili. Yaani tunafikia hatua ya kumchagulia mtu wakumpenda hatari sana.

Ila tuu mjue Diamond ni muislamu na dini inaruhusu hata Wema na Mobeto wote wakitaka wanaweza kuolewa na Mondi
 
Hata apost magari yote duniani lakin swala la ben 10 wake kupeleka bmdogo kitandan kwake amemdhalilisha.. So she should relax and apambane na hali yake! Hata udrive bentley, Lamborghini etc but kama huna peace of mind hakuna kitu! Mwsho upate ajali bureeee
We kweli hujielewi
 
watu mnagombania mwendokasi ila mnajifanya mnadiss bentley // wabongo bwana kazi kudiss vitu hamuwezi afford / kila mtu anangoneka but kila mtu ana bentley / **** people feelings / mwenzenu anaumia ndan ya bentley nyie mnaumia tu ndani ya nyumba ya kupanga acheni ufala
umeua mzee baba[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
ni bora zari...analia ndani ya bentley
huku wanalia ndani ya daladala...na nauli badi ataenda kumuomba huyohuyo aliemliza.
maisha haya[emoji19]
 
Na baada ya wao wote kupost,
The Greatest Wonderful yeye kapost hii.
WP_20170917_10_33_58_Pro.jpg
 
Afadhali mm kulko hao
Sasa bi dada huoni kama mwanamke anayejisifia kutembea na bwana wa mtu ni mtazamo hasi, maana mwisho wa siku anachotaka ni attention na labda bwana mkubwa ahamishie majeshi kwake, at the same time mwanamke anayejielewa anafahamu ugomvi kama huo ni mambo ya kifamilia ya kuyasolve na anamuua kuendelea na yake kwa sababu first of all ni Miss independent anaweza kujimudu kwa namna yoyote hata kama anaumia lakini anaumia kwenye Bentley sasa wewe ukiumizwa usikute unaishia kuumia kwenye chumba cha kupanga na kutujazia comments kwa tecno yako
 
Sasa bi dada huoni kama mwanamke anayejisifia kutembea na bwana wa mtu ni mtazamo hasi, maana mwisho wa siku anachotaka ni attention na labda bwana mkubwa ahamishie majeshi kwake, at the same time mwanamke anayejielewa anafahamu ugomvi kama huo ni mambo ya kifamilia ya kuyasolve na anamuua kuendelea na yake kwa sababu first of all ni Miss independent anaweza kujimudu kwa namna yoyote hata kama anaumia lakini anaumia kwenye Bentley sasa wewe ukiumizwa usikute unaishia kuumia kwenye chumba cha kupanga na kutujazia comments kwa tecno yako
Hahaaaaa! Bora mkuu nlie chumban kwangu kulko hao mkuu wanatafuta kiki mm ntalala vzur nikichoka ntajinywea saint Anna yangu nacnzia weeee uku nackliza mzk kwa ka mchina kangu! Sas wao ni too much fame
 
Hahaaaaa! Bora mkuu nlie chumban kwangu kulko hao mkuu wanatafuta kiki mm ntalala vzur nikichoka ntajinywea saint Anna yangu nacnzia weeee uku nackliza mzk kwa ka mchina kangu! Sas wao ni too much fame
Sasa hapo anayetafuta kiki ni nani kwa unavyoona?
 
watu mnagombania mwendokasi ila mnajifanya mnadiss bentley // wabongo bwana kazi kudiss vitu hamuwezi afford / kila mtu anangoneka but kila mtu ana bentley / **** people feelings / mwenzenu anaumia ndan ya bentley nyie mnaumia tu ndani ya nyumba ya kupanga acheni ufala
😀😀😀
 
Hata apost magari yote duniani lakin swala la ben 10 wake kupeleka bmdogo kitandan kwake amemdhalilisha.. So she should relax and apambane na hali yake! Hata udrive bentley, Lamborghini etc but kama huna peace of mind hakuna kitu! Mwsho upate ajali bureeee


Hivi kweli ndugu yangu kwa akili zako kabisa..Unaamini Diamond hagongi wanawake wengine zaidi ya Zari? Au unaamini Zari hagongwi na wanaume wengine zaidi ya Diamond? By the way wote wanajua. Na sisi tunajua. Tumeolewa na kuoa Sioni cha ajabu kwa Diamond au Zari kufanya hivo.

In all namsifu Zari.....beauty with brain!

Huyo Hamisa..akitoka hapo mwingine anaingia...

Kikubwa ajipange atafute pesa mjini! Mengine ya kugongwa na kugongewa ni zilipendwa!
 
Back
Top Bottom