Hiki ndicho alichopost Zari baada ya picha za Hamisa na Diamond kuvuja

Hiki ndicho alichopost Zari baada ya picha za Hamisa na Diamond kuvuja

Hata apost magari yote duniani lakin swala la ben 10 wake kupeleka bmdogo kitandan kwake amemdhalilisha.. So she should relax and apambane na hali yake! Hata udrive bentley, Lamborghini etc but kama huna peace of mind hakuna kitu! Mwsho upate ajali bureeee
Wivu uuu,.. Ama???
 
Ila kweli kweny miti mingi hakuna wajenzi mi ningepata uyu manzi zari akiamungooo angenijua,... Ata kura rahaa mpaka akinai,
 
Mwanamke akimchua bwana wa mwenzie ndio anaona ni ushindi mkubwa Duniani.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanawake akili zao moja [emoji23][emoji23][emoji23]
Zari alimwibia Wema
Sasa naye kaibiwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wema alimuacha Diamond.. tena kwa mbwembwe..kisa eti masikini.. anatembelea nyota ya Wema.. na wema alikuwa na mbabu alimpa raha wakati huo.... threads zimo humu. Haikupita mwezi wakakutana kwa safari moja ndani ya ndege
 
Safiii we posti kitanda mwenzako anaposti gari, yaaani ni tope na cement, give up zari
 
Hilo bentley lenyewe Zari sio lake ni la shoga yake Zodwa...aliwadanganya mashabiki wake akaja umbuliwa hana cha bentley wala bubu....apambane na hali tuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] niliona kule kwa thecelebchron duuuh!

Mmama mtu mzima ila anapenda show off sana daaah!
 
Ila kweli kweny miti mingi hakuna wajenzi mi ningepata uyu manzi zari akiamungooo angenijua,... Ata kura rahaa mpaka akinai,
Tumeumbwa kwa kukinai. Ukiwa na mtoto mzuri unapata tamaa ya kula wabaya.
 
.wewehamisa na mange wote akili zenu sawa....akili na mtazamo wenu ni za msingi papuchi...siku ukipigwa superglue kweye hyo papuchi inayokuweka mjini you will be as good as dead...katija maisha yenu yote ya hapa duniani na hata motoni baada ya kufa hamtafikia even nusu ya ustaarabu and elegance ya zarinah khassan..
Angekuwa msitarabu tusingeona uchafu wake xvideo au niuposti apa
 
Mwanamke akimchua bwana wa mwenzie ndio anaona ni ushindi mkubwa Duniani.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanawake akili zao moja [emoji23][emoji23][emoji23]
Zari alimwibia Wema
Sasa naye kaibiwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vipo kul YouTube mbona huleti mrejesho siku izi mkuu?

Sorry kwa kutoka nje ya mada
 
Back
Top Bottom