Hiki ndicho alichopost Zari baada ya picha za Hamisa na Diamond kuvuja

Hiki ndicho alichopost Zari baada ya picha za Hamisa na Diamond kuvuja

Leo kwa wale wapenda ubuyu ilikuwa siku nzuri baada ya picha za Diamond na Mwanadada Hamisa Kuvuja wakiwa chumbani Katika Hali ya Mahaba. Huku team Hamisa na Team Wema wakiwa wenye furaha kwa kilichotokea na kumkebehi Zari na kumtukana wengine wakizusha kalazwa kwa pressure , wale wapenda ubuyu tukawa tunasubr Zari atakuja na Majibu gani hiki ndicho alichopost Kwenye page yake ya Insta. View attachment 591138
leta hizo picha basi tuone
 
Hata apost magari yote duniani lakin swala la ben 10 wake kupeleka bmdogo kitandan kwake amemdhalilisha.. So she should relax and apambane na hali yake! Hata udrive bentley, Lamborghini etc but kama huna peace of mind hakuna kitu! Mwsho upate ajali bureeee

Wewe utakuwa mchawi au mganga wa kienyeji kila mtu anaugulia maumivu kivyake binadamu hatufanani kimatendo na kinafsi.
 
Jamani kumbe ni kwelii
Screenshot_2017-09-19-00-02-13.png
 
Huyo hamisa kaona kapataaaa bwana. Anamuumiza mwenzake.
,"bwana mwenyewe cha wote "
Akichokwa yeye atamtafuta Gigi money [emoji23][emoji23][emoji23]
Wacha wabadilishane viti kama kwenye mwendokasi
Na labda raha ya mwenzio ni kuwa na mwanaume mwenye eka eka km izo, leo zari, kesho dillish, Mara baadaye hamisa hahaha
 
Hata apost magari yote duniani lakin swala la ben 10 wake kupeleka bmdogo kitandan kwake amemdhalilisha.. So she should relax and apambane na hali yake! Hata udrive bentley, Lamborghini etc but kama huna peace of mind hakuna kitu! Mwsho upate ajali bureeee
Halaf ambaye huna bentley unajiona una peace of mind?!


Hahahahaha
 
watu mnagombania mwendokasi ila mnajifanya mnadiss bentley // wabongo bwana kazi kudiss vitu hamuwezi afford / kila mtu anangoneka but kila mtu ana bentley / https://jamii.app/JFUserGuide people feelings / mwenzenu anaumia ndan ya bentley nyie mnaumia tu ndani ya nyumba ya kupanga acheni ufala
 
Back
Top Bottom